DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Free internet kila siku- unamaanisha hulipii bando au?Kweli mkuu natumia Ha tunnel plus na stark vpn. Kote natumia FREE INTERNET KILA SIKU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Free internet kila siku- unamaanisha hulipii bando au?Kweli mkuu natumia Ha tunnel plus na stark vpn. Kote natumia FREE INTERNET KILA SIKU
Ebana eeeh[emoji4]SILIPII HATA NUKTA
na ndio naenjoi mpaka sasa nikiwa na airtelView attachment 1914214
Inamaana kila sikU natakiwa kuwa na mb300 au?Rahisi kutumia ni hii.. stark vpn reloaded. Icheki play store.
uwe na airtel. 300Mb Daily
View attachment 1914219
Hapana ni kwamba kila siku unapewa mb 300 bure. Zikiisha unasubiri tena saa sita usiku unaliunga.Inamaana kila sikU natakiwa kuwa na mb300 au?
Ha tunnel wanatoa mb ngapi kwani?Hapana ni kwamba kila siku unapewa mb 300 bure. Zikiisha unasubiri tena saa sita usiku unaliunga.
ukiwa na line mbili na zaidi unakula bata zaidi.
so cha msingi tafuta line hata 3 za airtel[emoji1][emoji1] upate 900mb free kutoka kwenye hio app.
mimi natumia Ha tunnel, hio inasumbua kidogo maana mpaka upate configuration file, lakini na yenyewe unapata Mb bure kabisa bila malipo
Swali zurimzee hyo 300mb ukiiweka hata ukitumia na kufungua videos inatumika hyo hyo bila kuisha?
Zamani ilikuwa unatumia unavyotaka hata gb 10 ila sasa ma snitch waliwatonya hq wakatubania. Kwa sasa tunapata 300mb onlyHa tunnel wanatoa mb ngapi kwani?
Hapana ni kwamba kila siku unapewa mb 300 bure. Zikiisha unasubiri tena saa sita usiku unaliunga.
ukiwa na line mbili na zaidi unakula bata zaidi.
so cha msingi tafuta line hata 3 za airtel[emoji1][emoji1] upate 900mb free kutoka kwenye hio app.
mimi natumia Ha tunnel, hio inasumbua kidogo maana mpaka upate configuration file, lakini na yenyewe unapata Mb bure kabisa bila malipo
Inamaana kila sikU natakiwa kuwa na mb300 au?
Hahah Tushatumia Sana ha tunnel plus ukweli Ni kwamba Ni ya muda tu siku chache zijazo mwamba utaamua mwenyewe ku unstall hio apk app .mark my word otherwise utuambie una muda gani Toka uanze kuitumia??Swali zuri
Hii mada sio official mkuu naomba niishie hapa nisije nikatafutwamzee hyo 300mb ukiiweka hata ukitumia na kufungua videos inatumika hyo hyo bila kuisha?
Ebu fafanua vizur hapo mkuuHahah Tushatumia Sana ha tunnel plus ukweli Ni kwamba Ni ya muda tu siku chache zijazo mwamba utaamua mwenyewe ku unstall hio apk app .mark my word otherwise utuambie una muda gani Toka uanze kuitumia??
nina mwaka mzima sasa naitumiaHahah Tushatumia Sana ha tunnel plus ukweli Ni kwamba Ni ya muda tu siku chache zijazo mwamba utaamua mwenyewe ku unstall hio apk app .mark my word otherwise utuambie una muda gani Toka uanze kuitumia??
Duh hii ndo JF
Hili kama magu lilimshinda hawa ni akina nani mpaka waliwezeWajikite kwenye kudhibiti ushoga sasa hapo ndio nitajua wako serious kiasi gani
Nasikia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Weka download VPN halafu jaribu tena... Utuletee feedback...Wakuu ntakaniangie pilau kila nikifingua aifunguki