Week end Special

Will u marry me? lol (Kaizer akikudivorce nishtue)

Kwenye mabano... It wont happen...lol... That Guaranteed!! (Gosh! i am humbled... Of coz i will marry you if and when i am free)

Now you know why I married her in the first place au sio Kloro...manake naona unamemezea mate mke wa mtu apo lol
On a serious note your wish ni kama fisi akitamani mkono wa binadamu udondoke .....hahahaha
 
jiulize rafiki, je moyo wako hujawahi kwenda mbio kwa mtu usiyemfahamu
Unaweza tu msikia sauti, unaweza mwona kwa picha, unaweza ona tu michango
yake hata humuhumu jf.....mhhhh yote haya ni juu ya nini??? ni juu ya mapenzi


Inaendaga mbio ndio ila ndio hivo tena tunjizuia coz inaonyesha hakuna penzi linalochanua
ndani ya jf kila mtu ni machozi tu analia,katendwa, watu waongo, hawawi wakweli, naona wanatamaniana tu
inaonekana bora ukutane na mwanaume baa au disco kuliko humu, maoni yangu tu shantel
 

Shantel haya maneno mbona kama umegusa mtima wangu!.....mwenzio maamzi niliyochukua ni kufuata kipendacho roho.I pray tha I make it through this relation..............
 
Shantel haya maneno mbona kama umegusa mtima wangu!.....mwenzio maamzi niliyochukua ni kufuata kipendacho roho.I pray tha I make it through this relation..............


Flovans umenifurahisha kweli na hii post..lol... Tread carefully and enjoy....
 
Shantel haya maneno mbona kama umegusa mtima wangu!.....mwenzio maamzi niliyochukua ni kufuata kipendacho roho.I pray tha I make it through this relation..............
Umeona eee, wakati mwingine kufata moyo ni muhimu mpendwa, thanks kama umeifurahia
 

huyo ni dinnah, kuna wengine wanajitahidi ina work out, coz baa, disco,daladala watu unaowakuta kule
nao usikute wako humuhumu pia baadhi
 

Watu wana bahati zao humu JF. Ngoja nikufuate PM, yawezekana nikawa mimi ati! Who knows?
 
Unapopenda,penda kwa kumaanisha,la sivyo ndio kuuendekeza mwili na tamaa zake.
Hivi ukishikamana ulipopendwa inakuzuia kutamani? ni kaswali tu? ni kweli kabisa usemayo what if imetokea tu bila kutegemea
 
Ile mistari na mashairi yangu kule kwenye PM umenichunia...Ama kweli mimi domo zege. Ngoja nijipange upya!
Ipi au umetumia ID yako ile ingine? jipange tena
 
Kama mm kuna mmoja humu jina tu ingawa si lake mapigo yanaenda mbiyoo......the same name as of my g.f......
 
Kweli shantel stranger can be a great lover ila inatakiwa uwe mwangalifu sana, asije geuka vampire
 
Kama mm kuna mmoja humu jina tu ingawa si lake mapigo yanaenda mbiyoo......the same name as of my g.f......
Mkuu itakuwa jina tu linakuchanganya nadhani
 
Now you know why I married her in the first place au sio Kloro...manake naona unamemezea mate mke wa mtu apo lol
On a serious note your wish ni kama fisi akitamani mkono wa binadamu udondoke .....hahahaha
Hizi ndoa za mkeka itabidi tuzichunguze kaizer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…