Week end Special

Week end Special

Ulikuwa wapi vuvu na wewe, i think being true to your self ni pale unapoamua kufata moyo wako and nothing else, but subiri aje NN alway anakuja na majibu murua
So if I'm involved with someone, and at the same time there's someone else that makes my heart sings everytime I see her....... Would I apply the golden rule or rather go for that person that makes my heart skip beats?
 
So if I'm involved with someone, and at the same time there's someone else that makes my heart sings everytime I see her....... Would I apply the golden rule or rather go for that person that makes my heart skip beats?
Maybe you should aply tulizo,NN ,ashadii and others technique, sababu hatuwezi kuwa na kila mtu tunayetaka kuwa naye, unless tutakuwa kama wanyama, but kama maji yanazidi unga huna jinsi kabisa, kuna case nyingi tu zitakufanya uende for plan B
 
Mbona wanaume wengine huwa wakianza huko nje home inakuwa goodbye kama swala ni kuongeza idadi ya siku za kufanya mapenzi, mapenzi yanaelemea upande mmoja, nakubaliana na baioloji, pia unaweza panga ratiba tu na mkeo akahimili vishindo

Kwa kweli nashukuru ila navojua wanaume akipata chombo kipya inakuwa balaa tena sio kwamba anapunguza hamu anahamia kabisa kimawazo,kiakili na kwa kila kitu, mara nyingi inatokea

Kuna sifa mbili kubwa ambazo zinamjenga mwanamme, moja ni strength (kimwili na kimaamuzi), ya pili sjui ndio niite lust au nini? yaani ni ile tamaa fulani ambayo inaamshwa na njaa kali ya sex, utakubaliana na mimi kwamba mwenye ukame hata akiona mzoga anaweza akala na akajiskia kala chakula ya maana sana.
My Point is mwanaume ambaye yupo strong hawezi kuacha hiyo tamaa imvunjie nyumba yake au at least iathiri mapenzi ndani ya nyumba yake. kwahiyo nawadowngrade hao mnaowazungumzia nyinyi na kuwaweka kwenye kundi la wadhaifu.
 
So if I'm involved with someone, and at the same time there's someone else that makes my heart sings everytime I see her....... Would I apply the golden rule or rather go for that person that makes my heart skip beats?


Zela you have a Great point hapa... If you are involved, there are a lot of issues involved... are you good/married/for fun/in love and the like... Hizo factors have to be taken in consideration... However you have to note that meeting someone else who makes your heart sing does not mean OR a guarantee that s/he is the best for you; this too depends on a lot of factors too... as in is it lust/Does S/he feel the same/is s/he free... For sio kila ambao makes our heats sing is possible to be with... or that they would feel the same way....
 
Usijali Shantel... I am good... In fact haku Change... and he was a Great lay....

Ni moja ya wale wanaume ambao mwanamke mmoja kwake sio kabisa... Na sijisifii... i know kua as much as anapenda Wanawake... Mimi alinipenda for real, for that is evident mpaka leo... My Man wakati wa mahusiano aliwahi chimbwa bit, kua he should not hurt me like he (the ex) did... That made me feel so good thou mpaka leo najua he still is a jerk! Na roho yangu ilikufa kabisa mpaka leo... in fact hata we don't communicate kabisa.
Hope nimekujibu sawa...

Yupo dada niliwahi kumuuliza kwanini anagombania mwanaume na mdada mwenzie? Jibu alilonipa lilinishangaza kidogo lakini lina kaukweli ndani yake, alijibu :
"mwanaume wa ukweli lazima agombaniwe, ukiona lijanaume lipo lipo tu linang'ong'wa na nzi basi ujue halijakamilika! hivyo mimi natafuta anaegombaniwa sababu najua ana something special" mwisho wa kunukuu
 
Kuna sifa mbili kubwa ambazo zinamjenga mwanamme, moja ni strength (kimwili na kimaamuzi), ya pili sjui ndio niite lust au nini? yaani ni ile tamaa fulani ambayo inaamshwa na njaa kali ya sex, utakubaliana na mimi kwamba mwenye ukame hata akiona mzoga anaweza akala na akajiskia kala chakula ya maana sana.
My Point is mwanaume ambaye yupo strong hawezi kuacha hiyo tamaa imvunjie nyumba yake au at least iathiri mapenzi ndani ya nyumba yake. kwahiyo nawadowngrade hao mnaowazungumzia nyinyi na kuwaweka kwenye kundi la wadhaifu.
ila wa aina hii wapo wengi sababu ya malalamiko ya wanawake wengi,wachache wanabakia kama x wa ashadii na wewe
 
ila wa aina hii wapo wengi sababu ya malalamiko ya wanawake wengi,wachache wanabakia kama x wa ashadii na wewe

Dah! Shantel kwa mitego bana! ila tukija upande wa pili wa shilingi, mwanamke akicheat na akapenda nje basi mamlaka ya nyumba yote anayakabidhi kwa njemba ya nje, inakuwa kama wewe na waifu wako mmeolewa na njemba ya nje hivi, heheh inauma aisee!
 
Yupo dada niliwahi kumuuliza kwanini anagombania mwanaume na mdada mwenzie? Jibu alilonipa lilinishangaza kidogo lakini lina kaukweli ndani yake, alijibu :
"mwanaume wa ukweli lazima agombaniwe, ukiona lijanaume lipo lipo tu linang'ong'wa na nzi basi ujue halijakamilika! hivyo mimi natafuta anaegombaniwa sababu najua ana something special" mwisho wa kunukuu

Huko sijafika... Upuuzi wa kupigania mwanaume na mwanamke mwenzangu siwezi wala siwezi thubutu! Kujichafua tu na kujitia Nuksi... Mie nawaelewa saaana wadada, akijua kua unajua kua anatoka na mwanaume wako huwa fahari kwake... I can not give her that advantage, kama namfahamu na tulikua na mahusiano mazuri - nikagundua nitamkwepa saana, na pale tutapoonana life will go on kama vile sijui kitu kabisa! Mimi nagombana na my man... yeye ndio nitagombana nae for ni dhahiri in most cases wao ndio wafuataji...

Ni aibu saana unaenda gombana na mwanamke mwenzio, alafu bado huyo mwanaume wako akaendelea kutoka nae... For one thing is for sure; Najua kabisa mwanaume aachi mwanamke eti tu sababu umefumania ama umetambua... What he does ni kubadilisha mfumo mzima wa kuwasiliana na huyo hawara, atakudanganya kua kamuacha... But believe me you kama hajaamua kumuacha maneno yako (mke) ni kelele tu maskioni mwake... Sad, but ndo ukweli wenyewe... However as much as ni muelewa kua wanaume hua wanatoka... One thing is for sure! Ahakikishe nisijue.... in other words nikijua, asijue kua najua... akijua kua na jua - Hio havoc nitaangusha hapo (kama najua siondoki)... huh! Kama there is no hope; ni kimya kimya.. mdogo mdogo... naachia ngazi, for then nakubali kua ni limbuken for kama anashindwa kabisa kuficha upuuzi wake kwa mkewe.... ili kunijengea heshima na kuonesha kunithamini... then he is not worth my while....
 
Dah! Shantel kwa mitego bana! ila tukija upande wa pili wa shilingi, mwanamke akicheat na akapenda nje basi mamlaka ya nyumba yote anayakabidhi kwa njemba ya nje, inakuwa kama wewe na waifu wako mmeolewa na njemba ya nje hivi, heheh inauma aisee!
hahahaaaa haya bwana klorokwini, nakubali wanaume wanaumiaga sana na huwa hawasamehi kwa hili
 
Huko sijafika... Upuuzi wa kupigania mwanaume na mwanamke mwenzangu siwezi wala siwezi thubutu! Kujichafua tu na kujitia Nuksi... Mie nawaelewa saaana wadada, akijua kua unajua kua anatoka na mwanaume wako huwa fahari kwake... I can not give her that advantage, kama namfahamu na tulikua na mahusiano mazuri - nikagundua nitamkwepa saana, na pale tutapoonana life will go on kama vile sijui kitu kabisa! Mimi nagombana na my man... yeye ndio nitagombana nae for ni dhahiri in most cases wao ndio wafuataji...

Ni aibu saana unaenda gombana na mwanamke mwenzio, alafu bado huyo mwanaume wako akaendelea kutoka nae... For one thing is for sure; Najua kabisa mwanaume aachi mwanamke eti tu sababu umefumania ama umetambua... What he does ni kubadilisha mfumo mzima wa kuwasiliana na huyo hawara, atakudanganya kua kamuacha... But believe me you kama hajaamua kumuacha maneno yako (mke) ni kelele tu maskioni mwake... Sad, but ndo ukweli wenyewe... However as much as ni muelewa kua wanaume hua wanatoka... One thing is for sure! Ahakikishe nisijue.... in other words nikijua, asijue kua najua... akijua kua na jua - Hio havoc nitaangusha hapo (kama najua siondoki)... huh! Kama there is no hope; ni kimya kimya.. mdogo mdogo... naachia ngazi, for then nakubali kua ni limbuken for kama anashindwa kabisa kuficha upuuzi wake kwa mkewe.... ili kunijengea heshima na kuonesha kunithamini... then he is not worth my while....

Najua huko hujafika, (I know u much better than Kaizer lol), I do agree with u ,but trust me Ashadii, its painful......yes, its unacceptable at least in feminine world.....yes, its annoying and upseting....yes ...... BUT it has some logic truth!
 
Najua huko hujafika, (I know u much better than Kaizer lol), I do agree with u ,but trust me Ashadii, its painful......yes, its unacceptable at least in feminine world.....yes, its annoying and upseting....yes ...... BUT it has some logic truth!


ha ha ha... Naona umeamua kunichekesha .... Nashukuru you understand kua we ladies hua inatuuma, hivo tunaomba jamani treat us with care... roho zetu zikajibwaga na kufurahi.... (now that is where the excitement lies - every day is an adventure for us and he keeps being surprised of what i am capable...lol) Haya mambo haya.. tungekua wooote na roho ya aina moja tungetafuta formulae... Unfortunately every single soul.. every single unique response... in same situations...
 
ha ha ha... Naona umeamua kunichekesha .... Nashukuru you understand kua we ladies hua inatuuma, hivo tunaomba jamani treat us with care... roho zetu zikajibwaga na kufurahi.... (now that is where the excitement lies - every day is an adventure for us and he keeps being surprised of what i am capable...lol) Haya mambo haya.. tungekua wooote na roho ya aina moja tungetafuta formulae... Unfortunately every single soul.. every single unique response... in same situations...
Siungi mkono udhalilishaji wa kinamama lakini ninachokusudia kuelezea ni kwamba matatizo ya kifamilia lazima yazingatie na utofauti wa kijinsia katika kila pembe! samtaimu tusiilaumu jinsia katika natural instinct yake na kuchukua maamuzi bila kuzingatia uhalisia wa mtuhumiwa kimaumbile , changamoto ni nyingi na daima mwanamme na mwanamke hawezi kuwa sawa! Nasaha zinahitajika, uvumilivu ndio ngao, kwa pamoja tunaweza.

Dah! aisee Ashadii acha nilog out bana! nimejifanya kukuwa serious kwenye hii sredi sasa kichwa chote kinauma, wengine hatukuumbwa tukuwe serious bana! tunaforce tu

Ubaki salama
 
Siungi mkono udhalilishaji wa kinamama lakini ninachokusudia kuelezea ni kwamba matatizo ya kifamilia lazima yazingatie na utofauti wa kijinsia katika kila pembe! samtaimu tusiilaumu jinsia katika natural instinct yake na kuchukua maamuzi bila kuzingatia uhalisia wa mtuhumiwa kimaumbile , changamoto ni nyingi na daima mwanamme na mwanamke hawezi kuwa sawa! Nasaha zinahitajika, uvumilivu ndio ngao, kwa pamoja tunaweza.

Dah! aisee Ashadii acha nilog out bana! nimejifanya kukuwa serious kwenye hii sredi sasa kichwa chote kinauma, wengine hatukuumbwa tukuwe serious bana! tunaforce tu

Ubaki salama

Tokana na maelezo yako... na post zoote nilizosoma humu... Hakuna mahala nime ditect kua umedhalilisha akina mama... You were being realistic, na mie huona ni bora mtu ukawa real na kutoa picha na hali halisi kuliko kuongea tu ambalo ni zuri machoni na masikioni mwa watu ili mradi tu eti uonekane wewe ni mtu mzuri... Most ya ulozungumza kwa mjuvi atajifunza hapo na atachagua nini achukue na nini aache, for whether one like it or not ... Ndo ukweli wenyewe... Na nikweli Co-worker naona leo ulikua kikazi zaidi for hasa umejieleza...lol...

Naona nikuunge mkono kwa kulog out for hata mimii nimechoka sasa.... Klorokwini... Be good.
 
Najua huko hujafika, (I know u much better than Kaizer lol), I do agree with u ,but trust me Ashadii, its painful......yes, its unacceptable at least in feminine world.....yes, its annoying and upseting....yes ...... BUT it has some logic truth!
Wivu huo
 
So if I'm involved with someone, and at the same time there's someone else that makes my heart sings everytime I see her....... Would I apply the golden rule or rather go for that person that makes my heart skip beats?
follow your heart, kusoma hisia kwanza , maana zingine zinakuja tu kutokana na mazingira, with time unarudi normal, jipe muda ili ujue kama what ur feeling ni real??
 
Hii sasa mitihani ..mungu nisaidie hiki kikombe kiniepuke kabisa eeh mungu uufunge huu moyo maana uliponipa mme ni wewe ndio ulimchagua awe wa kufa na kuzikana ....Hivi nikianza kuvutiwa na Krolokwin hii si miujiza ........................
 
Hii sasa mitihani ..mungu nisaidie hiki kikombe kiniepuke kabisa eeh mungu uufunge huu moyo maana uliponipa mme ni wewe ndio ulimchagua awe wa kufa na kuzikana ....Hivi nikianza kuvutiwa na Krolokwin hii si miujiza ........................
Mtihani wa maisha eeeee, kuvutiwa kupo FL1, ila unachukuliaje huo mvuto ndio hapo penyewe hasa
 
Mtihani wa maisha eeeee, kuvutiwa kupo FL1, ila unachukuliaje huo mvuto ndio hapo penyewe hasa

Gaga huo mvuto inategemea kama ananivutia kwa post zake au ka avatar,nk nk ...
Cha msingi hapa ni kushindana na feelings zako...
Lakini Gaga labda sijaelewa swali maana ukizingatia leo ni Blue monday..
Unajua kuna mtu anaweza kukuvutia mavazi tu si kwamba umempenda
Muonekano wake na si kwamba umempenda..
Kutembea kwake lakini sio kwamba umempenda
Hebu nifafanulie sweetie kuvutiwa kivipi
ili nidadavue
 
Sasa kwenye simu na net unawezaje kutamani kwanza ili uendelee na process ingine au kuna kitu more than kutamani?
Kwenye simu unatamani sauti kwanza, na kwenye net maybe michango yake na the way anavo interact na other people, or anavokupa attention au sio?
 
Hapo in red... kuna members weengi saana JF nasikia wameumizwa.. mtu mpaka anaona JF ni chungu tena.... Ni bora hata wale wanakutana kama friends bila nia ya kutongozana (thou ni rare), alafu ikaenda na flow....
Best!!!! hii ni kweli au macho yangu tu?
 
Back
Top Bottom