Weekend hii upo wapi na unafanya nini

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuja kuyachukua tujambe wote, yaani napenda makande acha kabisa.
Ila ya leo nimeweka maharage,mahindi na njugu mawe yaani matraaaamm na nazi mbili,..njooo tushindane kumjambia mume wetu mwenza wooiii
 
#makaoMakuu after making family dinner now on TV watching preachings
 
Nipo na wanangu tunakula ugali, samaki, viazi vitamu na nyama choma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…