Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Tena kizembe hivyo!! God forbid.Daah Mungu aepushie, mtu umekituliza home afu unaletewa tu gonjwa bure bure Duuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena kizembe hivyo!! God forbid.Daah Mungu aepushie, mtu umekituliza home afu unaletewa tu gonjwa bure bure Duuh
Roho ya Uuguzi imeniingia, nimeumiajeTena kizembe hivyo!! God forbid.
Kweli dhambi ukishaianza kuiacha ni ngumu sana.Roho ya Uuguzi imeniingia, nimeumiaje
"Dhambi ikikomaa huleta mauti"Kweli dhambi ukishaianza kuiacha ni ngumu sana.
Hatimae imemaliza mama. Nasubiri muendelezo, ila man of the peope ashaniangusha kwakweli.
For sure, kaponea tundu la sindano ila bado hajakoma!! Sometime unatamani kusahau kusingekuwepo"Dhambi ikikomaa huleta mauti"
Halafu mkuu acha kumfananisha lara 1 na watu wa ajabu ajabulara 1 sikuhizi amezidiwa umaarufu na Miss Natafuta .Kama kuna ka ukweli nipeni Likes zangu wakuu
kabisa kama ni shetani hajampitia tu ila kuweka kambi kabisa.Jamaa katuangusha kweli wapentekoste
kabisa kama ni shetani hajampitia tu ila kuweka kambi kabisa.
Hahaa kwa kweli unaona asubuhi kama haifiki. Me mwenyewe ningeomba tu anitajie majibu kwa mdomo khaaJamani jamani hiyo yakupima leo kufata majibu majibu kesho iliwahi nikuta siku moja, nimeenda agakhan saa 3 usiku nimepimwa vizuri naambiwa sijui makaratasi yakuandikia majibu hayapo kwahiyo nirudi kesho kidogo niwaambie niambieni hata kwa mdomo [emoji1], . Dr akaniambia nichukue namba yake kesho nikienda nimtafute mhh. Can you imagine the whole night bila majibu. Kesho ilifika nimekondaaa haha. Hivi hii huwa sahihi kweli?
dah umenikumbusha mbali...U turn ilikuwa best!!! tulizoeana wenyewe ilikuwa kama vile tunaangalia series flan ameizing! mtu unasoma comment huchoki....nilikuwa namfananisha Muddy na The Boss, halafu Rutashoba na Mentor.Supporting documents, hahaha! Hili neno limenikumbusha Uturn blog ya Mange kuna mtu alikuwa anaitwa mudy alikuwa analitumia sana[emoji2][emoji2][emoji2]