Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Shukran lara kwa kutambua uwepo wangu kifupi huwa nakuelewa sana keep it up
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe niweweJamani jamani hiyo yakupima leo kufata majibu majibu kesho iliwahi nikuta siku moja, nimeenda agakhan saa 3 usiku nimepimwa vizuri naambiwa sijui makaratasi yakuandikia majibu hayapo kwahiyo nirudi kesho kidogo niwaambie niambieni hata kwa mdomo [emoji1], . Dr akaniambia nichukue namba yake kesho nikienda nimtafute mhh. Can you imagine the whole night bila majibu. Kesho ilifika nimekondaaa haha. Hivi hii huwa sahihi kweli?
Afu kulikuwa na mtu anatumia avatar anayotumia the boss humu, sijui ndo huyo muddy sikumbuki vizuri kitamboo....dah umenikumbusha mbali...U turn ilikuwa best!!! tulizoeana wenyewe ilikuwa kama vile tunaangalia series flan ameizing! mtu unasoma comment huchoki....nilikuwa namfananisha Muddy na The Boss, halafu Rutashoba na Mentor.
Hahaah ndio ni mimi mkuu. Kwanini huwa mnatufanyia hivyo lakini? Mtatuua siku moja [emoji3]kumbe niwewe
nlitaka kukutia pressure tu sio wote tunawafanyia hivoHahaah ndio ni mimi mkuu. Kwanini huwa mnatufanyia hivyo lakini? Mtatuua siku moja [emoji3]
Hahahaha! Mi hadi leo naamini Muddy ni The Boss[emoji2][emoji2][emoji2]dah umenikumbusha mbali...U turn ilikuwa best!!! tulizoeana wenyewe ilikuwa kama vile tunaangalia series flan ameizing! mtu unasoma comment huchoki....nilikuwa namfananisha Muddy na The Boss, halafu Rutashoba na Mentor.
Na lazima katekwa na Caesar itakua.Fanani ametekwa jamani!
Poa kubwa la maaduijamaniiiiii nilitingwa ndo naandikaaa
jamaniiiiii nilitingwa ndo naandikaaa