Triangle...tuna msabato huku ameingia rasmi kwenye msimamo wa ligi ila umri umemuengua amekaa bench kwanza.
Hili movie la kijeda. Ndani lina muislam, mpentekoste na sasa hivi msabato. Uzuri Mercy amempokea mwokozi ameokoka..hahahahaaaa
Lara wani Ninani hapo??
nayeye yumo ujue ila sijamnyaka nyaka yeye Ninani hapo
Hii story dizain kama inanilenga
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Team man of the people since day one, alaf kunakitu Kati ya Lara 1, man of the people na tarime one.
I smell something fishy!
Shetani ana nguvu jamani.Wapi hapo mheshimiwa? Nilifikiria wote tupo team maombi kumbe na wewe ni The Man of People? Hahahaaa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nimeibukaAaaah umeibuka? Tumeshaambiwa hii ni true story. Inawezekana kabisa ikakuhusu kwa namna moja ama nyingine.
Haha dogo nimemuelewa sana tuuWapi hapo mheshimiwa? Nilifikiria wote tupo team maombi kumbe na wewe ni The Man of People? Hahahaaa
...atakuwa ndiyo Mercy!Aaah hilo fumbo ndio wengi tunalisubiria. Siku hizi avatar yake Bible..sijui ndio msabato au Mercy?
Lara sianasemaga yeye ni mkatoliki?yan nasubiri atajwe mkatoliki tu hapa ntajua ni yeye tu...Lara wani Ninani hapo??
nayeye yumo ujue ila sijamnyaka nyaka yeye Ninani hapo
Lara kuwa mercy mmh asingekubali kutoka na lizee la 60yrs huko labda kama anataka hela zake za pension[emoji23] [emoji23]Aaah hilo fumbo ndio wengi tunalisubiria. Siku hizi avatar yake Bible..sijui ndio msabato au Mercy?
Lara kuwa mercy mmh asingekubali kutoka na lizee la 60yrs huko labda kama anataka hela zake za pension[emoji23] [emoji23]
Naona unakimbilia team ushindi wa mezani mana lazima ajipendeleeMie nipo team lara 1 sitaki masihara kabisaaa..najua hataniangusha episode lake. Nyie endeleeeni na Mercy, Sijui antenaless, muathirika, msabato au wale wa mlokole..mie team Lara japo sijui timbwili lake litakuaje
Naona unakimbilia team ushindi wa mezani mana lazima ajipendelee
Lara 1 naomba cd isiruke ile sehemu ambayo ulimlipa Man of the people Fadhili maana historia yake inaonyesha alio wafadhili waliishia kumpa mzigo wenyewe.
Na ni mbaya haswa ... Ninachomuwazia man of the people .. Mungu ananiona maana namfananisha na kichaa mmoja hivi hawapishani kabisaAaah lazima utakua kiongozi wa team roho mbaya. Sio bure