Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hakuna ubora hapo. Ukishakuwa mume au mke lazima utambue mipaka yako.Kumbe ishu ni kucheat? Kwahiyo bora mwanaume asicheat lkn akiwa hahudumii familia vizuri, Hana time na wewe na watoto ni sawa as long as he doesn't cheat?
What are your priorities ladies?
So mume anaejitambua wala hawezi jikuta njia panda.