kuna watu mmeumbwa jamani almanusra nianguke maana iyo avatar simchezoVoluntary confession..I like it
kweli watu wanafaidi bna mie nibakie huku kiwangwa nilime ming'oko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna watu mmeumbwa jamani almanusra nianguke maana iyo avatar simchezoVoluntary confession..I like it
Sasa hayo mafile ya mercy umeyajuaje? Au unatamani nae awe kama mumewe ili mpate kujifariji?No ma'm!
Saa ngapi mama?Jamani nawaletea story japo kwa kuchelewaaa. Leo ndo leo
hata ni wewe mkuu salute kwakoHere
Yamekua hayo?
hata ni wewe mkuu salute kwakoHere
Yamekua hayo?
Ntafurahi mnoooJAMANI EEE
Nyie wanawake mnaungana huko team roho mbaya mnapretend to be holier than the pope himself!
Subirini siku Mercy nae akiamua kumwaga mafaili yake, mtapoteanaaaaa
You guys are not saints hahaaaaa!
---team MOTP---
Kwahiyo hamtaki hata utani jamani?Sasa hayo mafile ya mercy umeyajuaje? Au unatamani nae awe kama mumewe ili mpate kujifariji?
Sio kweli mkuuhata ni wewe mkuu salute kwako
piga kazi
Jamani nawaletea story japo kwa kuchelewaa
Then msimchukie MOTP, the other side (Mercy) could be worse!Ntafurahi mnooo
Hatumchukii yeye, tunayachukia anayoyafanyaThen msimchukie MOTP, the other side (Mercy) could be worse!
Dada lara1Jamani nawaletea story japo kwa kuchelewaaa. Leo ndo leo
You hate a cow, but you like its milk?Hatumchukii yeye, tunayachukia anayoyafanya
Hehehe ndiwooYou hate a cow, but you like its milk?
Hehee
Jamani nawaletea story japo kwa kuchelewaaa. Leo ndo leo
Mwanamke mmoja miaka yote anachosha nikiwa na mwingine nabadilisha ladha, asikuambie mtu michepuko inaboresha ndoa ."Wanawapenda kinyama" huo upendo wenu kwakweli ni wa wanyama. Hakuna upendo wa kibinadamu wa aina hiyo, huwa mnajifariji tu kuwa mnawapenda ila hapo tena hamna upendo.
Kumbe awajui faili zetu ni atari sana yaani bora mungu asiwaoneshe maanaHaha afu wanahisigi wanawake tunazaliwa tu faithful naturally, kumbeeee
Hata mwanaume mmoja anachosha wewe, sio baba ako mzazi. Sisi wenyewe tunapata na new experiences huko nje tunawaletea, ndoa inadumuuuuMwanamke mmoja miaka yote anachosha nikiwa na mwingine nabadilisha ladha, asikuambie mtu michepuko inaboresha ndoa .