Wacha weeee MOTP himself. Sasa pesa unanitumia au hautumi?Naona povu linawashuka tuu team roho mbaya!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Take a chill pill and relax, Lara 1 ashauza mechi!
Mnafikiri yeye hataki kupelekwa Zanzibar?
Hebu mwacheni kungwi apalilie kibaruaaa!
Ameeeeen!Tupo kwenye kizazi na nyskati za hatari mno, pale ambapo wasio cheat wanaonekana kama vile wana kasoro au kuna mambo hayapo sawa. Ndoa sio za kikristo wala kiislam kuvunjika ni jambo la kawaida sana...
Uadilifu umegeuka bidhaa adimu mnoo. Kuna haja ya kujitafakari ni wapi tumekosea
Sasa huu uzi si ni maalum kwa MOTP, yeye ndio kawekwa mtu kati.
MOTP hebu jibu swali la samaritan.Naona povu linawashuka tuu team roho mbaya!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Take a chill pill and relax, Lara 1 ashauza mechi!
Mnafikiri yeye hataki kupelekwa Zanzibar?
Hebu mwacheni kungwi apalilie kibaruaaa!
Wengine wancheat for funny kama kubadilisha mboga tu ila mboga ya asili iko palepale.Naomba tu unitajie hiyo sababu itasaidia sana kwa mustakabali wa jamii yetu. Kila mwanaume anaecheat ana sababu zake, hazifanani lakini wote wanaishia cheating. Hapo ndio utata unapoanzia, inawezekana kweli hawa watu wote wanasababu moja?
Sikutaka kuongea hicho kitu, ila ni kitu kilicho wazi kabisa. Kuna michepuko ikinogewa, jiandae kuwapoteza mkeo na watoto wako. Ila ndo ukiwaambia hawaelewiiiiHuyu MOTP sijampenda kabisa sijui kwa vile hakuwa na competitor?! Pili wanaume wengi wanaamini wakisema nimeoa wanakuwa free ila ukweli ni kwamba hakuna mwanamke anaependa kubaki mchepuko milele, atakudanganya mwanzo ntamuheshimu mkeo nyoooo!,.... Siku zikienda nae atataka hiyo hadhi na ukiona mwanamke anakubali kuwa mchepuko muogope huyo ni muuaji na akipata chance ya kuteketeza mkeo na watoto ataitumia ipasavyo,... Kama Unapenda mechi za nje ni bora ubase kwny one night stand baaas...
Daah AmenTupo kwenye kizazi na nyskati za hatari mno, pale ambapo wasio cheat wanaonekana kama vile wana kasoro au kuna mambo hayapo sawa. Ndoa sio za kikristo wala kiislam kuvunjika ni jambo la kawaida sana...
Uadilifu umegeuka bidhaa adimu mnoo. Kuna haja ya kujitafakari ni wapi tumekosea
Unajiteteea motp mwenyewe,vishawishi vinakimbiwa bhana sio vinakimbiliwaNawaona nawaona mnawachimba wanaume leo mmepata sababu mnajisahau wanawake matatizo ya MOTP mliyasababisha nyie,nyege za hao wenzenu plus huduma mashallah imewacost,hata mie siwadanganyi ukiingia kichwa kichwa na nishakupa warning nakuchapa nao tu,najua nisipofanya hivyo utaniona bwege wahed.
Kama wajiheshimu kaa mbali na mdudu adindishae utapigwa tu ukiingia penalt box yake.
Mfano hapo Mercy ana kosa gani mbona hadi mume anakiri kwamba yuko vizuri kila sekta? HuyuMOTP ni tabia yake tu,.. We kisa Mwanamke anakuangalia sn ndo umnunulie soda? Kifupi anapenda attention akiipata anajifanya staki natakaWengine wancheat for funny kama kubadilisha mboga tu ila mboga ya asili iko palepale.
Wengine wananukia **** jamani na wanawake kama nyuki mnaunga tela kufuatia harufu ya ua[emoji2] [emoji2] [emoji2] hapa namaaanisha wanaume malaya sana wanapendwa by nature tu na kinadada.
Sababu kuu wanawake mnajisahau sana mkishavikwa Pete na kusign makaratasi ya ndoa,jamani ndoa ni zaidi ya hayo makaratasi na pete jipangeni kwelikweli,mwanzo ulikua unajizungusha nyuzi 360 na kupiga deki **** mpaka mkunduni leo [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Wanasema mchepuko una heshima kuliko mke hawaelewi hakuna binadamu anaekuheshimu bureSikutaka kuongea hicho kitu, ila ni kitu kilicho wazi kabisa. Kuna michepuko ikinogewa, jiandae kuwapoteza mkeo na watoto wako. Ila ndo ukiwaambia hawaelewiiii
Afu wanaume wanacare sana +huruma na wanawake wasiowahusu. Arghhhhh[emoji35]Mfano hapo Mercy ana kosa gani mbona hadi mume anakiri kwamba yuko vizuri kila sekta? HuyuMOTP ni tabia yake tu,.. We kisa Mwanamke anakuangalia sn ndo umnunulie soda? Kifupi anapenda attention akiipata anajifanya staki nataka
Mama wee, kwanin lakini kunisingizia namna hii?Wacha weeee MOTP himself. Sasa pesa unanitumia au hautumi?
Ahsantee sana Mercy.
Tumesamehewa dhambi na sio majaribu, so majaribu lazima yaje coz hakuna kitu ambacho shetani anakipiga vita kama a happy marriage. Sasa wewe shetani akigonga tu hodi huyooo ushamfungulia ; Zinaa haikemewi, inakimbiwa. We can't blame michepuko, yenyewe haina commitment na mkeo
Tena shukuru tu michepuko yako haina akili za kujibebesha mimba, ila soon utaanza kuwa na watoto East Africa yote. Endeleeni kujiendekeza tu, siku hizi mwanaume mpumbavu hujisababishia kifo chake mwenyewe
Si alimpa pesa. Hivi unaijua nguvu ya pesa au unaisikia? Haujawahi ona kijana mwenye pesa akiitwa mzee(kwa heshima)!!!Kinachonishangaza huyu lara 1 kumuita huyu muhuni Man Of The People viiiiiiipi? Sojafahamu kabisaaaaa? Man of people au muhuni tu tena bazazi kabisa.
Lazima awe na heshima maana yeye anazijua good times tu, subiri umuoe uone kama hizo heshima unazoongekea utaziona!! Wanadhani kuwa mke ni mchezo!!Wanasema mchepuko una heshima kuliko mke hawaelewi hakuna binadamu anaekuheshimu bure
Na huko uzeeni ndiko atakakomuhitaji zaidi mkewe.Me nionavyo uyu kijana mop bado sana kuacha michepuko next story kamuuwa uyo wa Kenya
Ningemuona anaakili kama angeamua mkewe amie Kenya ila kitendo cha kuona sawa tu ata mke akienda ntalea watoto teyari kina ukakasi hana tena ratiba na mke usije shangaa akaja kukaa kinyumba na bi kidude Lara
Ndoa jamani inachangamoto tena kwa awa wanaume niatari sana
Walio sema fainali uzeeni awakukosea unajisifu kuja kuwa single father ukasahau uzee wako nani atakushushia net period