Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh kwani michepuko inatakaga stress? Shida kwa mkeoNa akipata magonjwa ni wako huyo umuuuuuguze mwisho akufie, kiruuuuuuuu!(wanajisemea wachaga)
Haha mbona bwana shetani anakunywa juice beachSi ndio maana akina motp wapo kila kona, tumewazoesha kuwa cha msingi ni tule,tuvae na tuishi pazuri baaaasi. Sasa unategemea nini? Tutegemee tu kufanyia maombi mapepo hewa huku bwana shetani yuko beach anakunywa tu juice taratiiiibu!
Kuna dada baba yake alikuwaga malaya mbwa, kazaa kila mtaa hadi na house girl wao. Binti alimchukia baba yake na akaona wanaume wote ndio hivyo hivyo. Yaani kaolewa mumewe anakiona cha moto. Yaani hajaliiiiiii, hadi mume huwa anahisi hapendwi full kujistukia.Ndo haya nayosema tunaentertain wanaume Kuchepuka as a result mabinti zetu wanakua wakiamini hayo maisha ya uchepukaji ni lazima, so wavumilie tu. It hurtssss
Ngoja nimalizie kulia kidogo[emoji27] [emoji27]
Kuna dada baba yake alikuwaga malaya mbwa, kazaa kila mtaa hadi na house girl wao. Binti alimchukia baba yake na akaona wanaume wote ndio hivyo hivyo. Yaani kaolewa mumewe anakiona cha moto. Yaani hajaliiiiiii, hadi mume huwa anahisi hapendwi full kujistukia.
Waache wajitoe ufahamu tu, wanalalamika ndoa siku hizi sijui zimekuaje, wanasahau chanzo ni wao hivyo watoto wamejifunza kwao, baba anaacha hata mara 6 na kuoa tena, unadhani unamfunza nini mtoto!! Hawezi kuja kuona thamani ya ndoa huyo wala familia. Si umeona motp kaadmit kuwakarithi kutoka kwa baba nae hakuiona thamani ya familia kwahiyo ategemee the same kwa wanae, unless Mungu aingilie kati.
Gwajise lazima aamshe dude kwanza[emoji23] [emoji23] atamtajia hadi michepuko yake ya primaryAkifika kwa anko gwaji chambe kwanzaaaaa ndio maombi yaendelee.
Hapo ndo na mimi nikashindwa kumuelewa,sasa hivi anasingizia ana pepo...hivi najiulza tu kwa mercy alikosa nini?yule ya kwanza alisema dini tofauti tukamuelewa na kwa mercy je?Sasa popote mbinguni na duniani Mercy ndio anajulikana mke wa MOTP. Wengine watajitahidi tu kula good time kwa kitambo ila mwenye hati miliki ni mke. Kauli ya MOTP kwamba anampenda na kumheshimu mkewe ni pumba kabisa, unasemaje unamheshimu mkeo huku dudu unaigawa nje kiholela?
Mama usiseme hivyo!! Unadhani mashoga wateja wao kina nani? Wengi ni waume za watu, wenyewe si wansemaga! Yaani hawa viumbe ni kama kulinda bahari tu ukilinda huku wenzio wanavua kuleeee. Ni wao wajitambue, kujithamini na kujiwekea mipaka.hahaaa eti ngoja nimalizie kulia
it hurts alot
na wadada basi mujiheshimuni jamani,how do yu feel kuliwa kiwiziwizi,roho juujuu unajiuliza ukifumwa na mwenye mali
he can't claim yu mbele ya kadamnasi,unabaki kuwa kipunguza genye tu
tukiamua tunaeza wazuia pia,mgomo no kuliwa na mme wa mtu...........watachepuka na nani?
hawa viumbe ni kwikwi,hawashindwi kuchepuka na wanaume wenzao walivyo walafi
niliwaza kwa sauti
nikaconclude;heshima na watoto wawe kila kitu kwake[akiwapenda na kuwajali inatosha]
Huku mwisho nimeshindwa kuelewa kabisa yanMie sichezi nae tena kwakweli.
Kweli kabisaaa, na hawajifunzi hawa biumbe!!Hehhehe nimekuwa mchelewaji siku hizi. Ila thanks lara nimeisoma yote na comments zote, MOPT amekaangwaa!
As a matter of experience jamani michepuko ni waharibifu na hawanaga cha kupoteza and they will do whatever it takes kummiliki mwanaume. Kwahiyo salama ya ndoa kupona ni mwanaume kutuliza huo mshedede sio kutafuta huruma ya mchepuko, kwamba mchepuko akuache urudi kwa mkeo halafu ye aolewe na nani? Thubutuuuu
Anza wewe kulijibu.MOTP au mwanaume yeyote anisaidie tu kujibu hili swali rahisi, kwa nini wanaume tuna cheat?
Hilo pepo lake tukampunge kwa gwajimaHahahaaa MOTP anapm watu huku eti anataka namba ya espy kisa hizo lips... Huyu jamaa huenda ana pepo sio bure
Hiyo hatimiliki ya makaratasi wakati watu wanajipatia treatment zaidi yako ya nini sasa!!Sasa popote mbinguni na duniani Mercy ndio anajulikana mke wa MOTP. Wengine watajitahidi tu kula good time kwa kitambo ila mwenye hati miliki ni mke. Kauli ya MOTP kwamba anampenda na kumheshimu mkewe ni pumba kabisa, unasemaje unamheshimu mkeo huku dudu unaigawa nje kiholela?
Busy unaombea jitu linalojifanya linamapepo unashangaa majibu hayaji kumbe maombi hata kwenye bati hayakufika!!Hahaa wajipunge wenyewe mapepo yao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]unajiona maneno yako? dawa yako MOTP tu ww
Aaaah!! Lake laja tu si anajitia ana mapepo eeeh!! Basi pepo lake walaa haliko mbali, litamsomba asiamini majicho yake, acha ajifanye ana ukoo na Yesu.Hivi wewe bado unasubiria team roho mbaya waambue kitu tena hapo? lara 1 ameshamsafisha huyu mhuni...
Aaah!! Umpelekee shida kwani anakujua, unakanwa futii bilioni.Eeeh kwani michepuko inatakaga stress? Shida kwa mkeo
Ukijifanya kuwap atention sana hawa viumbe wanakupanda kichwani. Watajijuuu............Haha mbona bwana shetani anakunywa juice beach
Sisi victims ndo tushakubaliana na hiyo hali, waache tu watuchepukie