scalethat
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,063
- 1,898
i have too,no way outYou have a strong heart dadaa!
Waache akina Heaven sent wajidai wanakaba hadi penat, wataambulia heart attack za bureee!
hamna shukrani,na sina wa kumlaumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i have too,no way outYou have a strong heart dadaa!
Waache akina Heaven sent wajidai wanakaba hadi penat, wataambulia heart attack za bureee!
Upendeleo gani sasa?Kuwa mke wa MOTP tu ni kigezo tosha kwamba anaupendeleo wa kipekee.
Yani ulivyoongea kwa kukata tamaa daah[emoji22] [emoji22]i have too,no way out
hamna shukrani,na sina wa kumlaumu
yaaan hawa viumbe mi sijui ata wakoje,hata siku moja huezi kuta akishare shida za maisha na mchepukoYani mchepuko unapata attention kuliko mke, Mungu anawaona
mh my dear nimejionea kupitia my mamaYani ulivyoongea kwa kukata tamaa daah[emoji22] [emoji22]
Ndo haya nayosema tunaentertain wanaume Kuchepuka as a result mabinti zetu wanakua wakiamini hayo maisha ya uchepukaji ni lazima, so wavumilie tu. It hurtssssyaaan hawa viumbe mi sijui ata wakoje,hata siku moja huezi kuta akishare shida za maisha na mchepuko
bata sasa,yote 9 10 kumla mara mbili au tatu apite hivi
wewe unayempa mpapa asubuhi mchana na jion kutwa mara 3 km dozi
unafua,unapika cjui unaenda labour............mtoko mwisho honeymoon
zenji utaisikia kwenye taarifa ya habari
mh my dear nimejionea kupitia my mama
learned alot kupitia yeye............kwa hyo hawa viumbe wala tu nimeshapata formula ,hatoniumiza kichwa mtu daima
hahaaa eti ngoja nimalizie kuliaNdo haya nayosema tunaentertain wanaume Kuchepuka as a result mabinti zetu wanakua wakiamini hayo maisha ya uchepukaji ni lazima, so wavumilie tu. It hurtssss
Ngoja nimalizie kulia kidogo[emoji27] [emoji27]
We unacheza na Abdala kichwa wazi wewe akishanyanua kichwa huwa mpaka achinje na hasa kama mbuzi kajileta mwenyewe machinjionihakuna namna acha tuwe team roho mbaya tu si kwa madudu hayo halaf anakuja kujitetea ujinga bla bla nyingiiii kutegwa my foot kwani ukikataa watakubaka
Una roho ngumu kama paka khaaaaaole wako lara akatishe story yetu kwa ajili yako....
lara leta manenoooo......
kama mercy kaondoka mwenyewe si ndo maombi ya mtu yamejibiwaaaa
kanyaga twende
Ngoja tu ninyamaze kwanzahahaaa eti ngoja nimalizie kulia
it hurts alot
na wadada basi mujiheshimuni jamani,how do yu feel kuliwa kiwiziwizi,roho juujuu unajiuliza ukifumwa na mwenye mali
he can't claim yu mbele ya kadamnasi,unabaki kuwa kipunguza genye tu
tukiamua tunaeza wazuia pia,mgomo no kuliwa na mme wa mtu...........watachepuka na nani?
hawa viumbe ni kwikwi,hawashindwi kuchepuka na wanaume wenzao walivyo walafi
niliwaza kwa sauti
nikaconclude;heshima na watoto wawe kila kitu kwake[akiwapenda na kuwajali inatosha]
cesilia, niswamehe aiseee. nsije kujitia nuksi bureee...., hayo yalikuwa tu yatokanayo.Una roho ngumu kama paka khaaaaa
We unaijua ndoa wewe?
Hahaaaaaaa ntakusomea kunuti wewe
Wife lake Niko na dining tablena ndo maana ya heshima or kujiheshimu otherwise ni usanii au maigizo
hahahaaa eti public property ,kila mtu anajisevia sio
af ajabu sasa anajisifia kumpeleka mchepuko zenji kitu cha 5 star what about wife?
Mungu anawaona esp yu MOTP
Hapana ndio ile ile mkuuHujabadilisha ID kweli wewe?
Same reason inayosababisha wanawake kucheat ndio hiyo hiyo inasababisha tunacheat.MOTP au mwanaume yeyote anisaidie tu kujibu hili swali rahisi, kwa nini wanaume tuna cheat?
I see you!Same reason inayosababisha wanawake kucheat ndio hiyo hiyo inasababisha tunacheat.
Same reason inayosababisha wanawake kucheat ndio hiyo hiyo inasababisha tunacheat.
hahaa MOTP sio wa kispotspotWife lake Niko na dining table