Sexual Colonialism - the policy or practice of acquiring full or partial sexual control over another woman other than your wife, occupying it with no future interests, and exploiting it sexually.
Nimewarudisha kidogo darasani mpate kujikumbusha ukoloni wa kingono ni nini. Kwanza ilikuwa nipige one night stand, no strings attached show, na ndo ilivotokea siku hio kule UG. Katika ile hard talk, nikaanza kumchojoa nguo moja moja binti Mercy, i didnt show her mercy ooooooh! Mara kibao najiuliza moyoni, hivi kweli ni mimi? Ni mimi kweli nafanya ufirauni huu Mimi? Huku naendelea kujilia tunda la msimuuu.
Nimemvua nguo zoteeee, toto la kisukumaaa linawakaaa kama taaaa. Jeupeeee, lainiii, limefungasha maeneo husikaaaa, ule ule ugonjwa wangu kabisaaa. Nikasema aliesema tuoe mjanja sanaaa, anataka kutubana na mwanamke mmoja afu hawa wengine awafaidi nani? Thubutuuuuuuuuu yake, ndo tunajisevia kama hivi. Niko kati kati akanikatishaaa.
Subiriiii baby, mimi sio mzoefu sanaaa wa haya mambo. Nimeanza chuo na huyo huyo Bf wangu, sijazurura sanaaa kwenye hizi sektaaaa. Mmmmmmhhhhhhhh! Nikamwambia ondoa shaka mimi nitakufundishaaa, nitakupa darsa mujarab na mubashara kabisaaa, ukienda kwa mumeo ukampe vitu adimu kabisaaa, mwalimu umepataaaa. Mpo hapo ndugu wasomajiii, fisi nimekabidhiwa stoo ya nyama.
Yaani bora asingeniambia hajui, ningempa benefit of doubt, kitendo cha kuniambia hajui ni kama kunipa green light nimdatishee mpaka aone nyota nyota. Ni kama kusalimu amri kwa adui. Angeuchubua kwamba hajui, mi ningedhani anajuaaa, kwa hio ningeenda normal tu. Pia sikumuamini sanaa kwamba kweli hajui, maana wife nae alinipiga kanyaboya la bikraaa. Mpaka kesho anasemaga mme wangu alinikuta bikra mi namtizama tuuu, labda ya Tiigo maana sijasema niikague huenda hata haipo pia. Hawa wake zetu kwenda nao hivo hivo kisiasa.
Nikaanza kumnyonya sikio kwanza nijue kweli Amature au basi tu kaamua kunipima imaniii, naonaaa anadataaa. Anapiga ukungaaaa. Namuuliza vipi kuna tatizo? Anahema juu juu sijawahi kufanyiwaaa mambo adimu kama haya, tamu sanaaaa baby, tamu sanaaa. Mxiuuuuuuuuu! Nikasema kumbe kweli kuku wa kisasa wewe, sasa leo umekutana na mwewe.
Mkumbuke mimi sio mtaalamu, sina utaalamu wowote wa maana, wife na kiwango cha kombe la mbuzi tu, maybe few pointers nilijifunza kwa yule mgonjwa, baaasi, sina specific experience useme CV langu kwenye kuwatuliza wanawake ni kubwaaaa hivooo la kutishaaa, hamnaa, ndo kwanza nilikuwa nalijazia nyama nyamaaaa. Tu.
Kuniambia hajui kitu kulinifanya ni relax, hamna kitu kibaya kama kidume ukutane na Pro, unaweza usisimamishe kwa wasiwasi, ila kujua niko na dent, nikapata ujasiri hata wa kupractise mambo yangu niliokuwa nayatamani sema siwezi ku practise na wife maana kuna mamabo ya kimahaba maybe kama mkeo anatoka Tanga ndo mnaweza kufanya, ila kama sio anaweza hisi unamkosea adabu bureee. Japo unayatamaniii kishenziii ila inabidi uvunge kibingwaaaa.
Nikasema hapa hapaaaa leo, fantasy zangu zote nazifanyia mazoeziiii. Hata zile pointers nilizosikia kwa marafiki nikasema nazo zitafanyiwa mazoezi ya vitendooo leo, the best part she cant tell if nakosea au nabugiii. Ndo nishapata uwanja wa mazoeziii. Confidence level 200% Nikawa nafata instruction manual ya kamasutraaa.
Ukinyonya nyonyo uwe unalipulizaaa, vitu vya kuhuni kama hivi siwezi kumfanyia mke wangu hata siku moja, angestukaaa kwanza ndo nini? Hahaaaaaa! Ila bibie namuona ana dataaa vibaya vbayaa, nachukua notes, okay so hio safi sanaaa. Mtekenye unyayo ukimbusu kitu ambacho nacho ningemfanyia wife weeeeeeee. Mtoto miguuu lainiiii basi namtekenyaaaa kwa raha zangu, anachanganyikiwa. Nikawa anaendelea na experimentation. Basi anavolegeaaa, na mimi ndo nazidi kulegeaaa ila najikazaaa mpaka instructions ziishe.
Nyonya kitovuuu, naonaaaa anadataaa kabisaaaaa kabisaaa. Anatanua miguuuu. Nikawaza nizame chumvini kweli? Mmmmmmmh! Hata hio kazi siku ingineee kwa leo wacha niendelee na instruction manual zingine za vijiweni. Yaaaani sikutaka kwenda zile ordinary nazompiga wife, thubutuuuuuuuu, kuna maana gani kuchepuka afu kula msosi ule ule, haina maana, leo i was going extraaa kwenye menu. Kama mnahisi nilikula kiboga sikula kabisaa mimi mtumishi wa Bwana.
Nikiwa bado kwenye kitovu, nishasemaaa sizami chumvini wala nini asinitanieee, kwanza uwanja wa ugenini, na isitoshe sijaufanyia usafi mwenyewe, nikasikia baby usizame chumvini! Mmmmmmmh! Nikajifanya kuuliza kwanini baby? Ni tamu sanaaa, uta enjoy i promise! HAHAHAAAAAAAAAAAA! Sio kwa kuzuga huku kwangu. Anakataaa, No baby, moyoni nasema afadhaliiii uvinza nako kuna matashtiti yake na shurba zake, huku nambembeleza, kwanini baby hutaki? Si umeniambia nikufundishe, ndo nataka nikuonjeshe sasa mambo ya uvinza na wewe uyajue! HAHAHAAAAAAAAAAAA! Utadhani hio Uvinza nishawapeleka watu wangapi kumbe siwahi hata kuzama. Uanaume ni roho tu sio kingine.
Tukaendela na coursework, nikaona mtoto kalowaaaa, kalegeaaa, nikasemaa okay kumbe hizi mbinu zenu za kijiweni ndo kiboko yanu, ananiomba nimpe doziiii ya nguvuuu. Anapanua mapaja kifo cha menede tenaaaa kila kile cha wife. Moyoni nasema usinitanieee. Nikamweke mto na kumwambia baby chuma mchicha hapo! Alistukaaaaa sijui kama nimemwambia nini. Naona akahisiiii huyu anataka kunipeleka Dubai sasa. Pozi gani la siku ya kwanza. Anadai mi naipenda style hii ya kifo cha mende. Hahahaaa! Nikajua hana lolote uwoga wake tu. Nikamkazia chuma mchicha hapo baby, mi nakueelekeza hiis tyle tamu zaidi ya hio. Anasita sitaaa kweli kweli.
Baadae akakubali ila mzigo wenyewe wa Dubai akauziba na mkono, hahahaaaaaaaaaaa! Dunia imeharibikaaaa hii sio ya kuachia mali zako hadharani. Cheko lilinibana nikajikaza. Hii style ya chuma mchicha sikuwahi kuila wala nini na mimi ndo siku ya kwanza kuila kwake ila hakujua. Tukaenda hivo hivo goli la 2 limezibwaa na mkono mwanzo mpaka mwishoo. Kati kati kanogewaa mambo ila goli haliachiii wazi, mkono uko pale pale umezibaaa, angejua mapema naona angeweka plasta kabisaaa. Hahaaaaa!
Mapumzikoni namwambia mimi sivo unavonifikiria, hayo mambo situmiiii kabisaa, wala sitamaniii, wewe niamniii. Yukoooo mmmmh, hamkawiii kukosea njia nyie, au kutelezesha, sitakiiiiiiii. Nikamwambia basi hio style hatufanyi tenaa kama haikupi amani. Yuko bora tusifanye ila imani za reja reja sinaaaa. Nikamwambia njoo ukae woman on top
Akajua rahisi, hii mke wangu anaipenda sanaa na anaimuduuu ndo maana yule mke na mashaka nae makubwaa. Kaja wima wima, kakaaaa puuuu wima wimaaaa, aliachia ukunga huooooo, weeeeeeeee! Nikastukaa asije kuwa katika kakaa kalenga na tobo ndogo buree ashatatuka rinda sio kwa ukunga ule. Hahahaaaaaaaaa! Nikamuuliza kwemaaa? Anahemea juu juu kama katoka kwenye marathon. Hoiiii. Nikamwambia hii style huiweziii ndugu yangu utanifia bureee, tubadilishe pozi kwanzaaa. Anajitetea naiweza sema na wewe una mashine kubwa sanaa, nahisii umegusa kizaziii. Nikakaa tu kimya nayo ile sifa ujue. Moyoni nasema we badala ujipimie kwa mahesabu unajitupa kwenye mashine usipochanika siku ingine utaivunja mashine yenyewe zigo lote hilo. Hahahahaaaaaaaa.
Ikabidi tu mchezo niumalize kwa kifo cha mende maana matukio yalikuwa mengi sanaa. Sema kifo cha mende chenywe sio common, naweka ufundi wangu xtraaa, kama kumtekenya miguu, kunyonya sikio. Alipiga makelele siku hiooo mpaka nikasema tusipofukuzwa hio hotel sijuiii. Na kama watu hawajatusikiaaa sijuiiii. Kumalizaaa wote nyanganyangaaaaa. Hoiiiii hoiiii. Ikabidi sasa tukaoge, na tulale. Nikasema huyu kesho haji tenaaa.
Kesho kaja tena anataka tena yale mambo, anasema bwana wake hamfanyagi vile, hajawahi kumfikisha ndo jana kafikaaaaa. Kama kawaida yangu nikasema say no more fam. Nikaendeleza dose zangu za kibabe kama kawaidaaa, akawa kadataaaaa, unajua kadataaa. Bwana wake anapiga hapokei simuuuu, inamkeraaa. Mi mke wangu akipiga napokeaaa vizuriii. Anakereka ila rules are open. Sema designa livokuwa hampendi pendi mchuchu wake ilinipa faraja kubwa.
Sasa binti anajua mapenziii mpaka bassiiiii. Tuko ofisi moja. Akija asubuhi anakuja ana vitafunwa viwili, ananipapatikiaaaaaa mpaka watu wengine wanaona wivuuuu. Yaaani ananipendaaa ile ya wazi wazi,Jioni tukitoka tunaenda sehemu tunakaa tunaongeaaaa au kula nyama choma mpaka saa 4 ndo narudi kwangu. Nikaanza kunywa na bia ndugu msomaji na nilikuwa sinywi kabisaaa.
She was fun, easy going, na mimi nikaanza kumpenda sasa kwa dhatiiii toka moyoniii mwangu. Ile unampenda mtu kabisaa, sitaki kusikia mambo ya mchumba sijui nini, ila huku mke ananibanaa, ananifunga jela huru hatariiii. Nikikaa na mchepuko na enjoy mpaka basi. Na enjoy sijui nisemaje. Naenda kwake kama kwangu, mambo ananipa navotaka mimi.
Mke nae hafanya chochote cha kuniuzi basi japo sababu ya kuachana ipatikaneee. Ndo kwanza anazidi kuwa mke mwemaaaa mpaka basi. Hana tatizo lolote, mimi ndo mkorfiiiiiiii. Bia nakunywa, nachelewa kurudi, wala hasemi kitu na akawa kajifungua mtoto wa 2. Sasa sijui u busy na mtoto hakugundua changes zozote kwangu sijuiiii. Ila nikawa naishi dunia 2.
Nikiwa katika dunia 2 hizo huku Mercy akaniambia ana Mimba yangu! Mbegu ya zinaa nilioipanda imekomaa na inatoa tunda la mtoto wa zinaaaa.
ITAENDELEA KESHO SAA 4 USIKU