Weekend Story! The Man of the People love triangle!

Weekend Story! The Man of the People love triangle!

lara 1 hakawii kusema file limeliwa na virusi kama sio kuvamiwa na international hackers... kabla ya hizo mambo tunaomba huyo MOTP japo kwashakoo tu endapo unamhurumia sana kuhusu tezi dume au busha
hahahahah kwashakoo eeh...

Lara akirudi hapa utasikia, ndugu wasomaji hata nyinyi wenyewe mnaona MOTP angefanya vipi maana kuku si kaingia tu bandani awamu hii kajitumbukiza kwenye sufuria kabsa.
 
lara 1 hakawii kusema file limeliwa na virusi kama sio kuvamiwa na international hackers... kabla ya hizo mambo tunaomba huyo MOTP japo kwashakoo tu endapo unamhurumia sana kuhusu tezi dume au busha
Gonjwa litakalomtafuna abdalah kichwa wazi asiweze tena kazi ndilo ninalomuombea kwakweli.
 
Ni vigumu sana kumpinga MOTP kwa sababu asilimia kubwa ya vifaa anavyokula ni vikali sana na ni ndoto ya wanaume wengi kufanya anayoyafanya ishu inayowashinda ni uwezo wa kuhonga tu.afu asijitambe eti ana bahat na dadaz rangi ya mtume ila ajitambe anajua kuhonga
 
Siamnini hata mwanaume mmoja japo kwa kuzugaaa tu, ajitokezeee kumpinga man of the people. All my hopes zilikuwa kwa Tarime one ambae sahivi ndo suspect number 1, huenda ndo man of the people.
MOTP wengi tunamsupport sababu ni mtu wa standard na siku zote mwanaume usipoelewa uko level gani na unapaswa kufanya nini am sorry for you.

Anajua value ya familia yake kama baba na value ya mke wake pamoja kwamba yawezekana kwa namna moja kuna demu alimkaza ana maku bora kuliko ya mke wake but still hajawahi shusha value ya mkewe au kutelekeza familia yake.

Man of understanding,anawaelewa viumbe wa kike kwamba ukiwaendekeza na kuwasikiliza hawa side chick unapotea kabisa hasa kwa mtu mwenye pesa zake afu anajua kupuliza pipe wanakuganda kama kupe ila jamaa anawapiga chini kimtindo na kurejea home kwa wife wake.

I like this guy[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
MOTP wengi tunamsupport sababu ni mtu wa standard na siku zote mwanaume usipoelewa uko level gani na unapaswa kufanya nini am sorry for you.

Anajua value ya familia yake kama baba na value ya mke wake pamoja kwamba yawezekana kwa namna moja kuna demu alimkaza ana maku bora kuliko ya mke wake but still hajawahi shusha value ya mkewe au kutelekeza familia yake.

Man of understanding,anawaelewa viumbe wa kike kwamba ukiwaendekeza na kuwasikiliza hawa side chick unapotea kabisa hasa kwa mtu mwenye pesa zake afu anajua kupuliza pipe wanakuganda kama kupe ila jamaa anawapiga chini kimtindo na kurejea home kwa wife wake.

I like this guy[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
...kwa maelezo haya ndiyo maana wewe unakuwa suspect number one, kuwa huenda ndiyo MOTP!!!
 
Hapa kuna dalili ya kuambiwa Snowden amechikichia na file lililobaki....huyu MOTP kwanza malaya tu, ulokole zamani. Sasa mtu gani hapitwi na walimbwende? Mwanzoni anavinga ooooh my wife sijui my kids mwishoni anatafuna kondoo.

Siko team roho mbaya ila naunga mkono maombi ya advanced busha accompanied with tezi dume
 
MOTP wengi tunamsupport sababu ni mtu wa standard na siku zote mwanaume usipoelewa uko level gani na unapaswa kufanya nini am sorry for you.

Anajua value ya familia yake kama baba na value ya mke wake pamoja kwamba yawezekana kwa namna moja kuna demu alimkaza ana maku bora kuliko ya mke wake but still hajawahi shusha value ya mkewe au kutelekeza familia yake.

Man of understanding,anawaelewa viumbe wa kike kwamba ukiwaendekeza na kuwasikiliza hawa side chick unapotea kabisa hasa kwa mtu mwenye pesa zake afu anajua kupuliza pipe wanakuganda kama kupe ila jamaa anawapiga chini kimtindo na kurejea home kwa wife wake.

I like this guy[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kwa maelezo haya acha uendelee kua mshukiwa wa kwanza,ila definition yako ya value ya familia naona ni sawa na MOTP
 
Kwa maelezo haya acha uendelee kua mshukiwa wa kwanza,ila definition yako ya value ya familia naona ni sawa na MOTP
[emoji2] [emoji2] jamani ni maoni yangu kama mme mwenye majukumu,kuna jambo moja tunalojisahau sisi wanaume hasa tunapopata side chick mwenye standard zake,anakupa vitu adimu unachanganyikiwa matokeo tunasahau value ya wake zetu na kuanza kuwapondea dah! I hate this tabia,kula mpapa utosheke but put your wife value ahead.
 
[emoji2] [emoji2] jamani ni maoni yangu kama mme mwenye majukumu,kuna jambo moja tunalojisahau sisi wanaume hasa tunapopata side chick mwenye standard zake,anakupa vitu adimu unachanganyikiwa matokeo tunasahau value ya wake zetu na kuanza kuwapondea dah! I hate this tabia,kula mpapa utosheke but put your wife value ahead.
I'm very good at connecting dots, just in case you didn't know!

Anyway, I love the mind games!
 
Back
Top Bottom