Eleminator
JF-Expert Member
- Sep 29, 2022
- 597
- 975
- Thread starter
-
- #41
Vitambulisho vinakuja soonNipo zangu tu home napika maini na ugali then nitashushia na tikiti.
Ni mimi mwanachama hai wa #KATAANDOA
Bongo hamna juaMe nimelala…
Nyie na hili jua lote huko nje mnazururaje? Ok mna magari, hamshuki?
Unakuwa unatembea na jiko lako na kuku wawili na vifutio kama vyoote[emoji2]Itakuwa nazeeka , natamani maisha ya porini porini tu.
Yaani ikifika hivi weekend nidrive like 50km au 100km kwenye mashamba hlf nachoma na kula
Kwann chiefKesho unaenda kazini Mwalimu ?
Mimi nasikiliza njia panda hapa clouds fm kwa Dr issack Maro. aisee maisha ni ubatili mtupu.
Porini tenaItakuwa nazeeka , natamani maisha ya porini porini tu.
Yaani ikifika hivi weekend nidrive like 50km au 100km kwenye mashamba hlf nachoma na kula
Vanity ubatiliKwann chief
Yes shambani kwenye farm house kupumzika ,kuchoma nyama na kunywa huko hukoPorini tena
Ndiyo kiongozi, kesho asubuhi nawahi kuwafundisha history form 3 mkuu.Kesho unaenda kazini Mwalimu ?
Mimi nasikiliza njia panda hapa clouds fm kwa Dr issack Maro. aisee maisha ni ubatili mtupu.
Amaizing sana maeneo tulivu hivi.. naturalYes shambani kwenye farm house kupumzika ,kuchoma nyama na kunywa huko huko
Kuna stori gani leo inayokufanya useme maisha ni ubatili??Kesho unaenda kazini Mwalimu ?
Mimi nasikiliza njia panda hapa clouds fm kwa Dr issack Maro. aisee maisha ni ubatili mtupu.
Mkuu SalamaCHOMA ZONE ndani ya kahama mjini
Mapito ni mengi mkuuKuna stori gani leo inayokufanya useme maisha ni ubatili??
Waniambie jamani 🤣🤣🤣🤣🤣 Umeuliza maswali mawili chapchap
Umeanza lini hizo tabia za hashtagNipo zangu tu home napika maini na ugali then nitashushia na tikiti.
Ni mimi mwanachama hai wa #KATAANDOA
Kwahiyo mimi nipo Somalia?Bongo hamna jua
Jua lipo somalia[emoji3][emoji3][emoji3]
Umrihuu unakaa na wahuni kidimbwi kha uko atutaki kusikia kabisaVip weekend yako inaendaje na umepanga kuimalizia location ipi?
Mliopo kidimbwi tutafutane[emoji4]
Kuna mkasa nilisikiagaKesho unaenda kazini Mwalimu ?
Mimi nasikiliza njia panda hapa clouds fm kwa Dr issack Maro. aisee maisha ni ubatili mtupu.
Ndio ndio😂Only AfTATU
si nakutumia kuptia Jf app