Eleminator
JF-Expert Member
- Sep 29, 2022
- 597
- 975
- Thread starter
- #61
Wew upo bongo na inakubd utoke ndan coz hamna juaKwahiyo mimi nipo Somalia?
Ntakupa trip y kwenda somalia ukashuhudie maajabu[emoji4][emoji1690]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wew upo bongo na inakubd utoke ndan coz hamna juaKwahiyo mimi nipo Somalia?
ConfirmedNdio ndio[emoji23]
Hatimaye imefika tena na ndo tuaanza kuimega taratiibuNjoo kinondoni masai tumalizie w/end
Jana nilikuwa moshi pale night club nilikuwa namcheck whozu anapiga show,kulikuwa na konyagi tofauti zenye radha ya tangawizi na limao, ulikuwa ukiangiza konyagi nne unaletewa na vidada vimeibeba kwenye chombo kinawaka vitaa, aaah ila baadaye nikachoka nikataka kulala nikazima TV maana nilikuwa naangalia FRIDAY NIGHT LIVE😁😁😃Hatimaye imefika tena na ndo tuaanza kuimega taratiibu
𝑯𝒂𝒉𝒂𝒂𝒉 𝒐𝒚𝒂 𝒘𝒆𝒆𝒉 𝒖𝒎𝒆𝒛𝒊𝒏𝒈𝒖𝒂[emoji3][emoji3]Jana nilikuwa moshi pale night club nilikuwa namcheck whozu anapiga show,kulikuwa na konyagi tofauti zenye radha ya tangawizi na limao, ulikuwa ukiangiza konyagi nne unaletewa na vidada vimeibeba kwenye chombo kinawaka vitaa, aaah ila baadaye nikachoka nikataka kulala nikazima TV maana nilikuwa naangalia FRIDAY NIGHT LIVE[emoji16][emoji16][emoji2]