Eleminator
JF-Expert Member
- Sep 29, 2022
- 597
- 975
- Thread starter
-
- #61
Wew upo bongo na inakubd utoke ndan coz hamna juaKwahiyo mimi nipo Somalia?
ConfirmedNdio ndio[emoji23]
Hatimaye imefika tena na ndo tuaanza kuimega taratiibuNjoo kinondoni masai tumalizie w/end
Jana nilikuwa moshi pale night club nilikuwa namcheck whozu anapiga show,kulikuwa na konyagi tofauti zenye radha ya tangawizi na limao, ulikuwa ukiangiza konyagi nne unaletewa na vidada vimeibeba kwenye chombo kinawaka vitaa, aaah ila baadaye nikachoka nikataka kulala nikazima TV maana nilikuwa naangalia FRIDAY NIGHT LIVEπππHatimaye imefika tena na ndo tuaanza kuimega taratiibu
π―πππππ πππ ππππ πππππππππ[emoji3][emoji3]Jana nilikuwa moshi pale night club nilikuwa namcheck whozu anapiga show,kulikuwa na konyagi tofauti zenye radha ya tangawizi na limao, ulikuwa ukiangiza konyagi nne unaletewa na vidada vimeibeba kwenye chombo kinawaka vitaa, aaah ila baadaye nikachoka nikataka kulala nikazima TV maana nilikuwa naangalia FRIDAY NIGHT LIVE[emoji16][emoji16][emoji2]