Mi mwenyewe nilijua ni mimba,nikapima nikachokaHuu mwaka utakua na matatizo. Mi niliongezeka kilo nyingi sana ndani ya mwezi. Ningekua nimefanya mchezo mbaya ningesema labda nina kamtu. Hapo ndo nikasema wacha nijaribu diet nashukuru kidooogo ikaleta matunda
Kwa heri....Mi ni tall kama Kagame mkuu
NtakufaKimbiza vichuguu hivyo
Wafupi hawana madhara kwanguUnapenda wafupi?
Hahahaa...sasa wewe unataka trainer andunje kweliKwa heri....
Duh,we utakua mrefu,ila wadada wa humu bana,hamuelewekiWafupi hawana madhara kwangu
Kweli.. mazoezi hayaendani na baadhi ya vitu, ndio maana nikamwambia amsake trainer itakuwa easy kwake atamuelekeza na vitu vya kula na kutokula.Tatizo lingine kina sisi tukifanya mazoezi tunazidisha kula. Kuna kipindi niliendaga gym kama week mbili nikaacha. Maana nilikua natoka gym narudi home navaa naenda kunywa pombe nikaona napoteza tu muda wangu
Mi mwenyewe nilijua ni mimba,nikapima nikachoka
Nimejaribu ya mbogamboga nikashindwa kabisa,
Yaani nikikaa hivi napata hamu ya nyama hatari, mchana sili zaidi ya juice au matunda,usiku sasa !!!!
Aliniambia anataka ke.Mi ni me mkuu
Avatar zinawaongopea.[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwenyewe nilikua najua kamodo fulani hivii
Okay...amesema kama ni me awe mfupiiiAliniambia anataka ke.
Mi mfupi ugonjwa wangu wanaume warefu ,weusi wenye kabody body ka mazoezi ama kijitambi kidogo hivi....!Duh,we utakua mrefu,ila wadada wa humu bana,hamueleweki
Hahahaha, acha nikae kimyaAvatar zinawaongopea.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hamna hamna utakuwa na kilo za big show[emoji23] [emoji23]hahaha mnanichekesha jaman!mie kwenye suala la nyama jaman nimenyooosha mikono!jana nimekula almost kuku mzima
wa kienyej,nikala na samak mchemsho!nikija pima hz kilo!arghhhhh
Duh!! Nawe ndugu yangu ni mrefu[emoji23] [emoji23]Okay...amesema kama ni me awe mfupiii
Hapana maisha ni mafupi wacha tu niendelee kula ninachotamani...hahaha mnanichekesha jaman!mie kwenye suala la nyama jaman nimenyooosha mikono!jana nimekula almost kuku mzima
wa kienyej,nikala na samak mchemsho!nikija pima hz kilo!arghhhhh
Kwako sipati point hata moja,urefu huu,utege wa mazoezi,sura ngumu ,Mi mfupi ugonjwa wangu wanaume warefu ,weusi wenye kabody body ka mazoezi ama kijitambi kidogo hivi....!
Kama Kagame vile [emoji23][emoji23][emoji23]Duh!! Nawe ndugu yangu ni mrefu[emoji23] [emoji23]
Sura sijali kabisaKwako sipati point hata moja,urefu huu,utege wa mazoezi,sura ngumu ,
Kumbe mi nina afadhali. Nikiona watu mna kilo nyingi hivyo mnanipa tumaini la kuendelea kula wali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeshaongezeka sana,
Nilipima uzito nimefika 97kg
Najaribu diet ila siwezi kuishi bila kula nyama..
Mazoezi nayo nimeshindwa...
Gym nikienda ntaishia kuliwa tu..
Naona niridhike kwa kweli