Weekend

Ndoivo mkuu....
Maana vijana wa humu hawachelewi kunyetukia picha za watu, alafu anakutumia asante huko PM...[emoji13] [emoji13]
Hahahahahaa na asante wanatoaga kumbe.
 
Duhhh.....
Naona unazidi kuleta tungo tata....[emoji12] [emoji12]
Kukimbizana kwenye uwanja gani unamaanisha.....[emoji39] [emoji39]
Uwanja wa mpira ,mixer skwashi ,changanya na matizi mengine, ya marehemu Ernest Mokake,Tauzany ,juma matokeo,

Umeipata mkuu hapo
 
Nimeshaongezeka sana,
Nilipima uzito nimefika 97kg
Najaribu diet ila siwezi kuishi bila kula nyama..
Mazoezi nayo nimeshindwa...
Gym nikienda ntaishia kuliwa tu..
Naona niridhike kwa kweli

Unakaribisha matatizo ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…