Weka 20% (1/5) ya mapato yako yote kama akiba, weka akiba kwanza kabla ya kutumia kila kipato unachokipata

Weka 20% (1/5) ya mapato yako yote kama akiba, weka akiba kwanza kabla ya kutumia kila kipato unachokipata

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
Baada ya kutoa fungu la kumi yaani 1/10 (10%) ya mapato yako na sadaka kwa wamuaminio Mwenyezi Mungu na agizo lake Hilo kuhusu baraka za kiuchumi kinachofuata ni kuweka 1/5 ya kipato chako kama akiba kwa ajili ya hii itakusaidia

1.kukabiliana na dharura pamoja na wakati ujao usio dhahiri (uncertainities)

2. Kutumia vizuri fursa zinazojitokeza kiuchumi kwa sababu ya misuli ya kifedha utayoipata kwa akiba uliyojiwekea

3. Kuepuka kuwa mtumwa wa mikopo isiyo rafiki kama kausha damu na madeni yasiyotakikana

4.Ukimudu kuweka 1/5 ya kila kipato chako ni mwanzo wa kuaaga umaaikininna kupelekea kuanzia safari ya utajiri

5.Utakuwa mwenye nguvu kifedha, utakopesha watu hutakua na haja ya kukopa, naam thamani ya pesa yako itaongezeka maradufu hasa utapojipatia vitu vya thamani kubwa kwa gharama wakati wasioweka akiba wakipoteza vitu vya thamani kubwa kwa ajili ya shida mdogo, au kupata vitu vya thamani ndogo kwa gharama kubwa.

NB: Kanuni hii ya akiba ya 1/5 ya mazao ndio aliyoitumia Yusuf akiwa waziri mkuu wa Misri na kufanya Misri kuwa Taifa kubwa lenye nguvu kubwa kiuchumi na kiutawala wakati huo (Super Power)

kwa hiyo ndugu unayesoma hapa kama ulikua unaijua hii tayari vyema sana tuendelee kupambania hili, na kama ni mara ya kwanza ichukue hii utanishukuru baadae.

Kwa elimu na ushauri zaidi kuhusu masuala ya kifedha na uchumi karibu PM.
 
Baada ya kutoa fungu la kumi yaani 1/10 (10%) ya mapato yako na sadaka kwa wamuaminio Mwenyezi Mungu na agizo lake Hilo kuhusu baraka za kiuchumi kinachofuata ni kuweka 1/5 ya kipato chako kama akiba kwa ajili ya hii itakusaidia

1.kukabiliana na dharura pamoja na wakati ujao usio dhahiri (uncertainities)

2. Kutumia vizuri fursa zinazojitokeza kiuchumi kwa sababu ya misuli ya kifedha utayoipata kwa akiba uliyojiwekea

3. Kuepuka kuwa mtumwa wa mikopo isiyo rafiki kama kausha damu na madeni yasiyotakikana

4.Ukimudu kuweka 1/5 ya kila kipato chako ni mwanzo wa kuaaga umaaikininna kupelekea kuanzia safari ya utajiri

5.Utakuwa mwenye nguvu kifedha, utakopesha watu hutakua na haja ya kukopa, naam thamani ya pesa yako itaongezeka maradufu hasa utapojipatia vitu vya thamani kubwa kwa gharama wakati wasioweka akiba wakipoteza vitu vya thamani kubwa kwa ajili ya shida mdogo, au kupata vitu vya thamani ndogo kwa gharama kubwa.

NB: Kanuni hii ya akiba ya 1/5 ya mazao ndio aliyoitumia Yusuf akiwa waziri mkuu wa Misri na kufanya Misri kuwa Taifa kubwa lenye nguvu kubwa kiuchumi na kiutawala wakati huo (Super Power)

kwa hiyo ndugu unayesoma hapa kama ulikua unaijua hii tayari vyema sana tuendelee kupambania hili, na kama ni mara ya kwanza ichukue hii utanishukuru baadae.

Kwa elimu na ushauri zaidi kuhusu masuala ya kifedha na uchumi karibu PM.
Mmekalili tu kuweka akiba wakati zaidi 70% watumishi wanaishi deficit bajeti, wewe niambie mimi mualomu wa shule ya msingi take home ni 360k, nina mke na mtoto na ishi nyimba ya kupanga hoyo 20% na 10% itatoka wapi?
 
Mmekalili tu kuweka akiba wakati zaidi 70% watumishi wanaishi deficit bajeti, wewe niambie mimi mualomu wa shule ya msingi take home ni 360k, nina mke na mtoto na ishi nyimba ya kupanga hoyo 20% na 10% itatoka wapi?
Upo kama mimi hatuzidiani sana take home ni 400k familia watu watano ni mziki kutunza Asee si poa
 
Baada ya kutoa fungu la kumi yaani 1/10 (10%) ya mapato yako na sadaka kwa wamuaminio Mwenyezi Mungu na agizo lake Hilo kuhusu baraka za kiuchumi kinachofuata ni kuweka 1/5 ya kipato chako kama akiba kwa ajili ya hii itakusaidia

1.kukabiliana na dharura pamoja na wakati ujao usio dhahiri (uncertainities)

2. Kutumia vizuri fursa zinazojitokeza kiuchumi kwa sababu ya misuli ya kifedha utayoipata kwa akiba uliyojiwekea

3. Kuepuka kuwa mtumwa wa mikopo isiyo rafiki kama kausha damu na madeni yasiyotakikana

4.Ukimudu kuweka 1/5 ya kila kipato chako ni mwanzo wa kuaaga umaaikininna kupelekea kuanzia safari ya utajiri

5.Utakuwa mwenye nguvu kifedha, utakopesha watu hutakua na haja ya kukopa, naam thamani ya pesa yako itaongezeka maradufu hasa utapojipatia vitu vya thamani kubwa kwa gharama wakati wasioweka akiba wakipoteza vitu vya thamani kubwa kwa ajili ya shida mdogo, au kupata vitu vya thamani ndogo kwa gharama kubwa.

NB: Kanuni hii ya akiba ya 1/5 ya mazao ndio aliyoitumia Yusuf akiwa waziri mkuu wa Misri na kufanya Misri kuwa Taifa kubwa lenye nguvu kubwa kiuchumi na kiutawala wakati huo (Super Power)

kwa hiyo ndugu unayesoma hapa kama ulikua unaijua hii tayari vyema sana tuendelee kupambania hili, na kama ni mara ya kwanza ichukue hii utanishukuru baadae.

Kwa elimu na ushauri zaidi kuhusu masuala ya kifedha na uchumi karibu PM.
Wee bwana acha tantalila unasave kama there is excess. Mishahara yenyewe baada ya siku 20 kwishney hizo siku 10 zilizobaki ni kuishi kwa kukopa kwa mangi.
 
Wee bwana acha tantalila unasave kama there is excess. Mishahara yenyewe baada ya siku 20 kwishney hizo siku 10 zilizobaki ni kuishi kwa kukopa kwa mangi.
🤣Dah umenikumbusha mbali wiki ya pili nilkua nafuta hela yote afu bahat mbaya ndo nimehamia mtaa huo Sina mazoea na kwny maduka nilisota kishenzi
 
Mmekalili tu kuweka akiba wakati zaidi 70% watumishi wanaishi deficit bajeti, wewe niambie mimi mualomu wa shule ya msingi take home ni 360k, nina mke na mtoto na ishi nyimba ya kupanga hoyo 20% na 10% itatoka wapi
Ongeza njia za kipato mkuu, anzisha biashara ndogo kuziba pengo, na bana matumizi uvuke kipindi cha mpito tu hicho usikubali hiyo hali iwe ni ya kudumu
 
Back
Top Bottom