Ni kuweka nidhamu kwanza, nidhamu ya kutunza ndio mbegu, mengine yote ni matokeo hakuna kinachoshindikana, ni kuamini kwamba na kuamua kuanzaHaya ndio maisha ya wengi wetu. Achana na hao mboga saba wanakuja na mambo nadharia hapa. Reality on the ground ni tofauti.
🤣Mdogo wako yupi Tena etySawa usijali...ila mi ni kidogo sana...haitunziki mdogo wangu
🤣🤣🤣Sasa kama Mimi ni mshangazi means wewe ni mdogo kwangu🤣Mdogo wako yupi Tena ety
Nidhamumu gani bwana wewe ebu wacheni kufanya watu wajinga. Take home yenyewe tarehe 20 tuu Kila kitu kwishney tena hapo nidhamu kweli kweli.Ni kuweka nidhamu kwanza, nidhamu ya kutunza ndio mbegu, mengine yote ni matokeo hakuna kinachoshindikana, ni kuamini kwamba na kuamua kuanza
Shida inaanza pale tunapokubali matatizo yatudhibiti badala ya kuyadhibiti, yaani maisha yanatuendesha badala ya kuyaendesha, pesa zinatutawala badala ya kuzitawala, tumeumbwa tumiliki na kiutawala mkuu, sio kumilikiwa na kutawaliwa na changamoto, kila kitu kinaanzia kwenye mtazamo (mindset) ukishaliweka mtazamo sawa na kuanza kuuishi kwa vitendo kila kitu kinabadilika (Vinaumbwa vipya na nchi zinageuka) ialike Roho Takatifu (Kamilifu) kwenye mtazamo (Mindset) wako kila kitu kitakwenda vile inapaswa kuwaNidhamumu gani bwana wewe ebu wacheni kufanya watu wajinga. Take home yenyewe tarehe 20 tuu Kila kitu kwishney tena hapo nidhamu kweli kweli.
Bro...everyone can be clever the trick is not to think others are stupid
Kitu kikubwa kabisa hiki, kila kitu kinawezekana kuwa, kama tu mtu atabadili MINDSET na kufocus zaidi katika kuwa POSITIVE.Shida inaanza pale tunapokubali matatizo yatudhibiti badala ya kuyadhibiti, yaani maisha yanatuendesha badala ya kuyaendesha, pesa zinatutawala badala ya kuzitawala, tumeumbwa tumiliki na kiutawala mkuu, sio kumilikiwa na kutawaliwa na changamoto, kila kitu kinaanzia kwenye mtazamo (mindset) ukishaliweka mtazamo sawa na kuanza kuuishi kwa vitendo kila kitu kinabadilika (Vinaumbwa vipya na nchi zinageuka) ialike Roho Takatifu (Kamilifu) kwenye mtazamo (Mindset) wako kila kitu kitakwenda vile inapaswa kuwa
Pesa ni ulinzi wewe huo ndio mtazamo sahihi kuhusu pesaShida inaanza pale tunapokubali matatizo yatudhibiti badala ya kuyadhibiti, yaani maisha yanatuendesha badala ya kuyaendesha, pesa zinatutawala badala ya kuzitawala, tumeumbwa tumiliki na kiutawala mkuu, sio kumilikiwa na kutawaliwa na changamoto, kila kitu kinaanzia kwenye mtazamo (mindset) ukishaliweka mtazamo sawa na kuanza kuuishi kwa vitendo kila kitu kinabadilika (Vinaumbwa vipya na nchi zinageuka) ialike Roho Takatifu (Kamilifu) kwenye mtazamo (Mindset) wako kila kitu kitakwenda vile inapaswa kuwa
SureKitu kikubwa kabisa hiki, kila kitu kinawezekana kuwa, kama tu mtu atabadili MINDSET na kufocus zaidi katika kuwa POSITIVE.
Kuanza na"haiwezekani" "kipato kidogo nitasave nini" tayari ni kujiondoa katika njia ya kufanikiwa.
Sijui kama mtu anaelewa.
Sio lazima iwe 1/5 ila akiba ni kiwango chochote kitakacho kusaidia mbeleniHaya ndio maisha ya wengi wetu. Achana na hao mboga saba wanakuja na mambo nadharia hapa. Reality on the ground ni tofauti.
Shida inaanza pale tunapokubali matatizo yatudhibiti badala ya kuyadhibiti, yaani maisha yanatuendesha badala ya kuyaendesha, pesa zinatutawala badala ya kuzitawala, tumeumbwa tumiliki na kiutawala mkuu, sio kumilikiwa na kutawaliwa na changamoto, kila kitu kinaanzia kwenye mtazamo (mindset) ukishaliweka mtazamo sawa na kuanza kuuishi kwa vitendo kila kitu kinabadilika (Vinaumbwa vipya na nchi zinageuka) ialike Roho Takatifu (Kamilifu) kwenye mtazamo (Mindset) wako kila kitu kitakwenda vile inapaswa kuwa
Kuna watu dharura zilishatangulia kitambo sijui huu msamiati watauelewa?Baada ya kutoa fungu la kumi yaani 1/10 (10%) ya mapato yako na sadaka kwa wamuaminio Mwenyezi Mungu na agizo lake Hilo kuhusu baraka za kiuchumi kinachofuata ni kuweka 1/5 ya kipato chako kama akiba kwa ajili ya hii itakusaidia
1.kukabiliana na dharura pamoja na wakati ujao usio dhahiri (uncertainities)
2. Kutumia vizuri fursa zinazojitokeza kiuchumi kwa sababu ya misuli ya kifedha utayoipata kwa akiba uliyojiwekea
3. Kuepuka kuwa mtumwa wa mikopo isiyo rafiki kama kausha damu na madeni yasiyotakikana
4.Ukimudu kuweka 1/5 ya kila kipato chako ni mwanzo wa kuaaga umaaikininna kupelekea kuanzia safari ya utajiri
5.Utakuwa mwenye nguvu kifedha, utakopesha watu hutakua na haja ya kukopa, naam thamani ya pesa yako itaongezeka maradufu hasa utapojipatia vitu vya thamani kubwa kwa gharama wakati wasioweka akiba wakipoteza vitu vya thamani kubwa kwa ajili ya shida mdogo, au kupata vitu vya thamani ndogo kwa gharama kubwa.
NB: Kanuni hii ya akiba ya 1/5 ya mazao ndio aliyoitumia Yusuf akiwa waziri mkuu wa Misri na kufanya Misri kuwa Taifa kubwa lenye nguvu kubwa kiuchumi na kiutawala wakati huo (Super Power)
kwa hiyo ndugu unayesoma hapa kama ulikua unaijua hii tayari vyema sana tuendelee kupambania hili, na kama ni mara ya kwanza ichukue hii utanishukuru baadae.
Kwa elimu na ushauri zaidi kuhusu masuala ya kifedha na uchumi karibu PM.
Uzi mzuri sana. Ukiwa na malengo utapaa. Sasa ongezea na framework ya 7 Baby Steps, utaona matokeo. Nimeizungumzia hapaBaada ya kutoa fungu la kumi yaani 1/10 (10%) ya mapato yako na sadaka kwa wamuaminio Mwenyezi Mungu na agizo lake Hilo kuhusu baraka za kiuchumi kinachofuata ni kuweka 1/5 ya kipato chako kama akiba kwa ajili ya hii itakusaidia
1.kukabiliana na dharura pamoja na wakati ujao usio dhahiri (uncertainities)
2. Kutumia vizuri fursa zinazojitokeza kiuchumi kwa sababu ya misuli ya kifedha utayoipata kwa akiba uliyojiwekea
3. Kuepuka kuwa mtumwa wa mikopo isiyo rafiki kama kausha damu na madeni yasiyotakikana
4.Ukimudu kuweka 1/5 ya kila kipato chako ni mwanzo wa kuaaga umaaikininna kupelekea kuanzia safari ya utajiri
5.Utakuwa mwenye nguvu kifedha, utakopesha watu hutakua na haja ya kukopa, naam thamani ya pesa yako itaongezeka maradufu hasa utapojipatia vitu vya thamani kubwa kwa gharama wakati wasioweka akiba wakipoteza vitu vya thamani kubwa kwa ajili ya shida mdogo, au kupata vitu vya thamani ndogo kwa gharama kubwa.
NB: Kanuni hii ya akiba ya 1/5 ya mazao ndio aliyoitumia Yusuf akiwa waziri mkuu wa Misri na kufanya Misri kuwa Taifa kubwa lenye nguvu kubwa kiuchumi na kiutawala wakati huo (Super Power)
kwa hiyo ndugu unayesoma hapa kama ulikua unaijua hii tayari vyema sana tuendelee kupambania hili, na kama ni mara ya kwanza ichukue hii utanishukuru baadae.
Kwa elimu na ushauri zaidi kuhusu masuala ya kifedha na uchumi karibu PM.
Hatari ila kuweka akiba ni discipline tu mi take home 1.7 hata laki moja nimeshindwa kuweka.Upo kama mimi hatuzidiani sana take home ni 400k familia watu watano ni mziki kutunza Asee si poa
Wewe itabidi utandikwe fimbo hivo hivo na ukubwa wako😅una kiburi sababu every ni uhakikaHatari ila kuweka akiba ni discipline tu mi take home 1.7 hata laki moja nimeshindwa kuweka.