Weka CV yako hapa

una level gani ya elimu?
 
Cv ni very sensitive information. si vizuri kuweka public, na si salama. Coz huku kuna askari, usalama wa taifa, na vibara wa chama tawala, wanaweza zichukua na kuzitumia kwa manufaa yao ww ndio ukapata shida. Tafuga mbinu nyingine
 
Cv ni very sensitive information. si vizuri kuweka public, na si salama. Coz huku kuna askari, usalama wa taifa, na vibara wa chama tawala, wanaweza zichukua na kuzitumia kwa manufaa yao ww ndio ukapata shida. Tafuga mbinu nyingine
Usalama wa taifa ni nini?
 
Nikuwekee wewe then?? Unataka ndoa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wana jf changamkieni fursa ajira zipo wekeni cv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…