Wekeni CV changamkieni fursa[emoji20][emoji20][emoji20]
ngoja waje
Siyo rahisi Kama unavyofikiri.. Hivi vitu ni confidential.
Umetumwa na nani? Hupati mtu!!! Utasubiria sana.
Hujampata mtu kwa style hii budaa [emoji41][emoji41][emoji41]
Watu mmekosa vitu vya kupost namna hii
Tungeanza na wewe ingependeza zaidi.
Na sie ambao tunaopenda kulima tutume nini?
Itabidi unifundishe namna ya kuandikaWekeni CV changamkieni fursa
Kwa akili yako finyu ukajua watoa ajira Jf?Habarini ndugu wajamvi !nimatumaini yangu mu wazima
Kama kichwa cha Uzi kinavyojieleza,Uzi huu ni maalum kwa wana jf kuweka CV zao kama vile vyeti vya elimu mbalimbali (shule ,chuo au kampuni) ,leseni yako(maalum Kwa madereva) .Lengo la kufanya hivyo ni kuwawezesha wana jf kupata kazi Kwa urahisi na kuacha kuzunguka zunguka na bahasha kwenye ofisi mbalimbali
Vilevile tunawasaidia wale wanaotaka kuwaajiri watu waweze kuwapata Kwa urahisi Kwa kuangalia CV zao humu.
Nawasilisha.
Umeona eeeSiyo rahisi Kama unavyofikiri.. Hivi vitu ni confidential.
Unataka kujua majina halisi, umeshtukiwaHabarini ndugu wajamvi !nimatumaini yangu mu wazima
Kama kichwa cha Uzi kinavyojieleza,Uzi huu ni maalum kwa wana jf kuweka CV zao kama vile vyeti vya elimu mbalimbali (shule ,chuo au kampuni) ,leseni yako(maalum Kwa madereva) .Lengo la kufanya hivyo ni kuwawezesha wana jf kupata kazi Kwa urahisi na kuacha kuzunguka zunguka na bahasha kwenye ofisi mbalimbali
Vilevile tunawasaidia wale wanaotaka kuwaajiri watu waweze kuwapata Kwa urahisi Kwa kuangalia CV zao humu.
Nawasilisha.
Vipi wewe hutaki kupata ajira na michongo hapa jf? Weka cv yako kwanzaWekeni CV zenu ndugu zangu hii ni fursa nzuri tuitumie
Hivi CV ndo nini vile?Vipi wewe hutaki kupata ajira na michongo hapa jf? Weka cv yako kwanza
Mi mwenyewe mgeni, ndio maana nimemwambia aweke kwanza ya kwake ili akina sie tuangalizieHivi CV ndo nini vile?
Hebu nielekeze namna ya kuiandika bibie na mimi nipate angalau girisi kidogo[emoji41]
Ahaah, ukishaangalizia unitag nije kuona yakwako.Mi mwenyewe mgeni, ndio maana nimemwambia aweke kwanza ya kwake ili akina sie tuangalizie
Viv 6 ya form Chuo Kikuu.Habarini ndugu wajamvi !nimatumaini yangu mu wazima
Kama kichwa cha Uzi kinavyojieleza,Uzi huu ni maalum kwa wana jf kuweka CV zao kama vile vyeti vya elimu mbalimbali (shule ,chuo au kampuni) ,leseni yako(maalum Kwa madereva) .Lengo la kufanya hivyo ni kuwawezesha wana jf kupata kazi Kwa urahisi na kuacha kuzunguka zunguka na bahasha kwenye ofisi mbalimbali
Vilevile tunawasaidia wale wanaotaka kuwaajiri watu waweze kuwapata Kwa urahisi Kwa kuangalia CV zao humu.
Nawasilisha.