Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

Pole lkn kwa haraka tumia ndulele kupigia mswaki únaikata unakamulia kwenye mswaki unaswak kutwa ×2 asbhi na jion ndan ya wik 1 tu utaona angalizo usimeze chochote wakt unaswaki ukimeza n sumu hyo
asante sana boss, so baada ya kuswaki c naweza kusukutua tu na maji ya kawaida
 
huu mmea unaitwa patakuva.... kiboko ya maumivu ya jino/meno. Tafunia kwenye jino linalouma au tafuna halaf sukutua kwenye jino linalouma. Likiendelea kuuma within 30 mimutes njoo uniue.
20220907_112536_HDR.jpg
 
Mm na mafua karibu kila siku...msaada please
Tafuna kitunguu saumu kila siku asubuhi na tangawizi kila unapolala kwa siku tano.

Ukiona hali bado tumia dawa za uzio kama citrezin kwa siku 7 mpaka 14, lakini ni vema ukajua vitu unavyotumia au mazingira yanayokuzunguka hayo ndiyo yanayopelekea wewe kupata mafua kika mara.
 
Back
Top Bottom