Weka mbali na wanawake. Ni mfano tu

Weka mbali na wanawake. Ni mfano tu

Hahaha yani kipindi kile nilikuwa nacheka peke angu hadi nikataka kuwa kama taahira. Kuna watu walikuwa wanatoa majibu mule + visa vyao vya mapenzi me ni kucheka tu. Uje huku uwakute dina na warumi. Vichambo vinawakolea hadi mtu anajiquote kujichamba yeye mwenyewe hahhahahah
geniveros sijui yuko wapi mwaya

Yaani nahisi wewe ulikuwa hucheki, that was jf kwakweli yaani ukiingia huku hutamani kutoka daaah!! Imebaki historia
 
Kuna dada mmoja namuona anachungulia post ya kiumeni humu...loh
 
Hahaha yani kipindi kile nilikuwa nacheka peke angu hadi nikataka kuwa kama taahira. Kuna watu walikuwa wanatoa majibu mule + visa vyao vya mapenzi me ni kucheka tu. Uje huku uwakute dina na warumi. Vichambo vinawakolea hadi mtu anajiquote kujichamba yeye mwenyewe hahhahahah
[COLOR=#ff0000]geniveros[/COLOR] sijui yuko wapi mwaya

Nahisi ni mheshimiwa kwa sasa, alikuwa anategemea viti maalum kama mbukumbuku zangu ziko vizuri

cc atoto
 
Mi kukaa siku tatu tu bila kugonga ni mtihani, itakuwa kukaa mwaka,,, ndomaana waislam tumeruhusiwa Mke zaidi yammoja
 
Inawezekana kabisa kama unamwabudu mungu kwa mapenzi yote,lazima mungu atakuepushia tamaa ya ngono.
 
Hahaha yani kipindi kile nilikuwa nacheka peke angu hadi nikataka kuwa kama taahira. Kuna watu walikuwa wanatoa majibu mule + visa vyao vya mapenzi me ni kucheka tu. Uje huku uwakute dina na warumi. Vichambo vinawakolea hadi mtu anajiquote kujichamba yeye mwenyewe hahhahahah
geniveros sijui yuko wapi mwaya

hahahahaha we acha Tu aisee ilikua balaa warumi Kuna siku alijikot akajichamba weee nilichekajee,nami ikanitokea akaona yewii alicheka wewe nilijutraaaa
 
Back
Top Bottom