Hahaha yani kipindi kile nilikuwa nacheka peke angu hadi nikataka kuwa kama taahira. Kuna watu walikuwa wanatoa majibu mule + visa vyao vya mapenzi me ni kucheka tu. Uje huku uwakute dina na warumi. Vichambo vinawakolea hadi mtu anajiquote kujichamba yeye mwenyewe hahhahahah
geniveros sijui yuko wapi mwaya
Eeh maana si ulimnywa kwenye maji
Hahaha yani kipindi kile nilikuwa nacheka peke angu hadi nikataka kuwa kama taahira. Kuna watu walikuwa wanatoa majibu mule + visa vyao vya mapenzi me ni kucheka tu. Uje huku uwakute dina na warumi. Vichambo vinawakolea hadi mtu anajiquote kujichamba yeye mwenyewe hahhahahah
[COLOR=#ff0000]geniveros[/COLOR] sijui yuko wapi mwaya
Yeah nakumbuka, so ukute tunamtaja tu mheshimiwa now jamaniNahisi ni mheshimiwa kwa sasa, alikuwa anategemea viti maalum kama mbukumbuku zangu ziko vizuri
cc atoto
Hahaha mara warumi akalale msibani kisa tu kupata ubuyu khaaYaani nahisi wewe ulikuwa hucheki, that was jf kwakweli yaani ukiingia huku hutamani kutoka daaah!! Imebaki historia
Eeh huko hukoHahahaaaa! Maana anatokea alikoingilia.
Hahaha yani kipindi kile nilikuwa nacheka peke angu hadi nikataka kuwa kama taahira. Kuna watu walikuwa wanatoa majibu mule + visa vyao vya mapenzi me ni kucheka tu. Uje huku uwakute dina na warumi. Vichambo vinawakolea hadi mtu anajiquote kujichamba yeye mwenyewe hahhahahah
geniveros sijui yuko wapi mwaya
inaonekana unatujua sana
Chuo gani na kwa level gani? maana naona una PhDniliwasomea
hapo hapana....Ni operation ya kidole cha mkononi.
hapo hapana....
ndo mana tunambiwa tuowe watatu hadi wanne
unadhan m.mungu alivyosema oa 2,3,4 na ukishindwa kuwafanyia uadilifu oa mmoja unadhan hakujua wanaume tupoje acha kutia akili katia ili jmn!
yaani wewe unakubali umnyime mwenzio...?Th teh teh teeeh! Sasa akijitonesha kidole.
Kuna operation za zaidi ya mwaka, mfano hizi pingili za mgongo operation yake kupona sio mchezoHiyo operesheni ya kumlaza mtu mwaka ni ya Moyo au ROHO?
yaani wewe unakubali umnyime mwenzio...?