Weka mbali na wanawake. Ni mfano tu


Yaani nahisi wewe ulikuwa hucheki, that was jf kwakweli yaani ukiingia huku hutamani kutoka daaah!! Imebaki historia
 
Kuna dada mmoja namuona anachungulia post ya kiumeni humu...loh
 

Nahisi ni mheshimiwa kwa sasa, alikuwa anategemea viti maalum kama mbukumbuku zangu ziko vizuri

cc atoto
 
Mi kukaa siku tatu tu bila kugonga ni mtihani, itakuwa kukaa mwaka,,, ndomaana waislam tumeruhusiwa Mke zaidi yammoja
 
Inawezekana kabisa kama unamwabudu mungu kwa mapenzi yote,lazima mungu atakuepushia tamaa ya ngono.
 

hahahahaha we acha Tu aisee ilikua balaa warumi Kuna siku alijikot akajichamba weee nilichekajee,nami ikanitokea akaona yewii alicheka wewe nilijutraaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…