Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Lazima ujue intonations hapa...la sivyo una ng'ata ulimi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]phonology hataki hatari
Hahaha!
Ninakumbuka shuleni ukikuta wanafunzi wapo discussion ya phonology, unakuta wanakohoa na kutoa sauti za kila aina...Maana lazima utoe mfano.
Kwenye mtihani ni vikohozi khoo! khoo!
Kumbe mtu anatafuta majibu hahaha