Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Konstipeshen
Maserati [emoji1438]♂️[emoji1438]♂️[emoji1438]♂️[emoji1438]♂️
Wewe ni faiyaaa [emoji91][emoji91][emoji91]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Konstipeshen
Wewe ni mwalimu!?Tiin
Tin
Kama ilivyo ada basi uzi huu ni maalum wa kuelekezana kutamka maneno ya kiingereza ambayo yanakuchanganya kutamka, weka utasaidiwa humu.
Sio lazima,Na sio yote yana mfumo huo mkuu. Ni matter of pronunciation tu. Mfano eat and ate inatamkwa it...ki phonology tunaiandika it iwe British au Amr English,ambapo intonation ya British ndio ina rise kwenye i na Ku fall kwenye t..bahati mbaya simu angu au nadhani program ya simu haina mark za rise and fall. Cake can be pronounced kāk. So sio lazima maneno yote yenye vowel yawe na sauti hiyo...Mara nyingi katika maneno ya kizungu yenye voweli a e katika silabi zake huwa kuna sauti ya "ei" kama vile ate=eit, take=teik, voyage=voyeij, made=meid. cake=keik, spade=speid, n.k.
Hapana mkuu.. Advance level nilisomea hizi mambo katika somo la phonology and pronunciation...Wewe ni mwalimu!?
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Unaonesha umesoma shule za private!!?
Usinisifie sana [emoji85] bichwa linavimba sana hukuMaserati [emoji1438]♂️[emoji1438]♂️[emoji1438]♂️[emoji1438]♂️
Wewe ni faiyaaa [emoji91][emoji91][emoji91]
Wewe ni mwalimu??Sio lazima,Na sio yote yana mfumo huo mkuu. Ni matter of pronunciation tu. Mfano eat and ate inatamkwa it...ki phonology tunaiandika it iwe British au Amr English,ambapo intonation ya British ndio ina rise kwenye i na Ku fall kwenye t..bahati mbaya simu angu au nadhani program ya simu haina mark za rise and fall. Cake can be pronounced kāk. So sio lazima maneno yote yenye vowel yawe na sauti hiyo...
Hapana mkuu.. Advance level nilisomea hizi mambo katika somo la phonology and pronunciation...
Usinisifie sana [emoji85] bichwa linavimba sana huku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha ha ha ha ha. Haya banaIkivimba ndio vizuri, maneno yataongezeka
[emoji85] hapana..Wewe ni mwalimu??
Nilikuwa muuza sura mzuri sana, tho nilisoma kayumba so advance nilipata chance ya kusoma private,ndio nikiona ni sehemu ya kuipiga msasa ile broken ya kayumba.Kweli hukwenda kuuza sura