Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Tunaingiaaisee naona unaingia kwenye kichanja
Haya mambu ya dar ukileta utani inapanda kichwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaingiaaisee naona unaingia kwenye kichanja
Biashara nyingi...Wakwetu...Siku yenu hii hongera kwa ndugu yangu....Anaenda kuruka debe hadi kokolikooo😂😂Namtengea shemela wenu nalala
View attachment 2542323
Si ndo namtengea chakula cha usikuunalala kivipi dada yetu!,sio kwamba kwa Mkapa hatoki mtu uwanja upo tayari kwa mechi?
Biashara nyingi??? Zipi??Biashara nyingi...Wakwetu...Siku yenu hii hongera kwa ndugu yangu....Anaenda kuruka debe hadi kokolikooo😂😂
😂 Kazi iendelee!!Tunaingia
Haya mambu ya dar ukileta utani inapanda kichwani
Ndo manake😂 Kazi iendelee!!
Pazia zimefika kiasi gani! Nzito kama hizo zako...Biashara nyingi??? Zipi??
unamtengea nini ? Kama chakula ni kipi ? Maana hatuoni meza bali "kwa mkapa" 😂Namtengea shemela wenu nalala
View attachment 2542323
Uzuri uko mikoani mahindi ndio yamefika magotini so ugali upo mboga haitotushinda watoto wakiongezekaNdo manake
2 ef 60Pazia zimefika kiasi gani! Nzito kama hizo zako...
Ila watu Ni watalaamu ,Hio picha imepigwa 7-2-2022 leo ni tarehe 8-3-2023 au copy & paste?. Ila nauliza tu inakuwaje unakunywa whiskey na Coca Cola wakati juisi ya Machungwa na nanasi ndio poa kwa Pombe kali.
Me nko dsmUzuri uko mikoani mahindi ndio yamefika magotini so ugali upo mboga haitotushinda watoto wakiongezeka
Meza ni desh deshunamtengea nini ? Kama chakula ni kipi ? Maana hatuoni meza bali "kwa mkapa" 😂
Maeneo gani?Me nko dsm
UshaanzaaMaeneo gani?
Hapo chupi juu ya kamba tena!😁Namtengea shemela wenu nalala
View attachment 2542323