Weka picha: Uko wapi sasa hivi na unafanya nini?

Weka picha: Uko wapi sasa hivi na unafanya nini?

Namiungo,nimepata pancha,Safar ya Tunduru To Dar
 

Attachments

  • IMG_2882.jpg
    IMG_2882.jpg
    735.9 KB · Views: 11
Hapana mkuu, nimeibadili tarehe kwa makusudi ili jumamosi hii nikitoka safari nisipate maswali mengi kutoka kwa mke nyumbani

Hiyo coca ni kwa ajili ya arosto ya kuchakata mbususu ya huyu binti kisura
Acha janja janja wewe.. kwani uki act maisha itakusaidia nini?

Huko ku mention V8 sijui na hilo bata unalokula ni wazi hakuna uhalisia.

Nimekutana na watu wengi wa personality kama yako. Nyie watu hambadiliki!
 
Back
Top Bottom