Mim huyu hapa jamani Mungu anaumba kuna wanawake wanafaidi si mchezoo View attachment 444897 hebu weka na wako unaeona anavutia , huyu sio kadoda11 kweliii mmmh maana akikukaza vyuma lazima vikazee aiseee
Eti ni kweli mchepuko wa Nyani ngabu ni Dinazarde?[emoji30]Wana wivu hao[emoji1]
Manpenda mabrother men wanaojiremba na kupaka mekup... Hahah safari yenu ni ndefu. Na kwa taarifa hao mnaowapenda ndo maana wanawaliza kila siku maana sio waoaji ila mnawashobokea wenyewe. Mwanaume halisi si kama huyo mliemweka hapo juu... Maadili hayaruhusu ningejiweka mimi utetemeke vizuriMpaka awe na sura ngumu eeee ndio mwanaume acheni hizooo
Nawe unataka uwe mchepuko wake Nyani Ngabu ?Eti ni kweli mchepuko wa Nyani ngabu ni Dinazarde?[emoji30]
Ngoja tumwite Nyani Ngabu ajibu hiliEti ni kweli mchepuko wa Nyani ngabu ni Dinazarde?[emoji30]
Nyani ngabu ndio mimi piaNgoja tumwite Nyani Ngabu ajibu hili
Jiweke basi tusisimukeeeeManpenda mabrother men wanaojiremba na kupaka mekup... Hahah safari yenu ni ndefu. Na kwa taarifa hao mnaowapenda ndo maana wanawaliza kila siku maana sio waoaji ila mnawashobokea wenyewe. Mwanaume halisi si kama huyo mliemweka hapo juu... Maadili hayaruhusu ningejiweka mimi utetemeke vizuri
Teh hayaNyani ngabu ndio mimi pia
Mkuu pleaseeeee!!.....sijakuquote wewe!!....mimi ni jemedari wa hizi vita ujue!!
Mwanaume lainiiiiiiiKarembua wapiii??
Watu wanaoitwa Asumani wapo kibao pia watu wanaoitwa hilo jina wapo kibao siyo lazima uwe ni wewe mkuu!!Hilo jina ulilolitaja hapo ni lako ?au la nani yako?
Vunjeni ukimya sasaMi Ali Kiba namkubali mno . -🙂
Umepotea sana kijana.Mwanaume lainiiiiiii
Loh sasa huyo na wewe mnatofautiana nini?