Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijamzungumzia wa huku JF bali nimemzungumzia wa hapa jirani na hapa ninapoishi ambae hata Valentina anamjua mkuu!!.....wa huku JF mimi wala simjui!Humu wapo dinazarde wangapi ?
Na utaendelea kumsikia tu ,hata huyo jirani yako ana kazi kupata jirani anaefatilia mambo ya watu sijui yanakuongezea mshahara halo!!!!Mimi sijamzungumzia wa huku JF bali nimemzungumzia wa hapa jirani na hapa ninapoishi mkuu!!.....wa huku JF mimi wala simjui!
Kumbe michepuko siyo watu wa mchezo mchezo!![emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Na utaendelea kumsikia tu ,hata huyo jirani yako ana kazi kupata jirani anaefatilia mambo ya watu sijui yanakuongezea mshahara halo!!!!
Yap hatupendagi ujinga kabisa [emoji104][emoji104][emoji104]
We ni mchepuko wa nani humu
Niko vere vere aise. Umepotea wewe na mkeo kabisa. Mnaonekana kwa mwanga wa tochi aise. Karibu tena kilingeni
Ha haa yatakushinda ujueKumbe michepuko siyo watu wa mchezo mchezo!![emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilishakuwaga na xmate wangu alikuwa handsome sana. alikuwa hana jeraha ata la kujikwaa. sasa vidada vya skuli vilikuwa vinampenda sana. kwa kuwa mimi nilikuwa rafiki yake namshauri wakijilenga twende tuka t.mb, alafu unanibakishia mi namalizia. cha ajabu alimukula demu wangu. nilipogundua nilienda kwa mshikaji wangu aliyekuwa dereva wa tz-kongo aniazime AK 47 maana alipata kimagenddo baada ya kumpelekea mcongoman maharrage akampa hiyo bunduki. sasa jamaangu aliporudi home akaificha juu ya dari. nikaenda kumuomba rafiki yangu ile AK 47. jamaa akaninyima ikabidi nimchimbe biti naenda kwa kova. sasa jamaangu akabaa ikabidi akaitupe ile bunduki shamba flani ambayo iliokotwaga na askari (kama mlisikiaga bunduki iliokotwa shambani zamani kidogo 2006) .
kama angenipa ile punduki ningemwaga utumbo wa yule baby face. cha ajabu ata sijui yupo wapi mpaka leo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha haa yatakushinda ujue
yaani uzuri wote huo analambwa na mbwa? ndio maana huwa sipendi mbwa kuliko wanyama wote.dah mi kijana huyu ananivutia mno!!View attachment 444903 View attachment 444904
Wvu mtu anasura ngwadu akimtzama Mtoto anacnziaWana wivu hao[emoji1]
Sasa mbona huyu Ni mpumuliwaji.poleMim huyu hapa jamani Mungu anaumba kuna wanawake wanafaidi si mchezoo View attachment 444897 hebu weka na wako unaeona anavutia , huyu sio kadoda11 kweliii mmmh maana akikukaza vyuma lazima vikazee aiseee