Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Erick Erick Erick yani sijui nisemejeMwanaume lainiiiiiii
Loh sasa huyo na wewe mnatofautiana nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Erick Erick Erick yani sijui nisemejeMwanaume lainiiiiiii
Loh sasa huyo na wewe mnatofautiana nini?
Story yako inatusaidia niniNilishakuwaga na xmate wangu alikuwa handsome sana. alikuwa hana jeraha ata la kujikwaa. sasa vidada vya skuli vilikuwa vinampenda sana. kwa kuwa mimi nilikuwa rafiki yake namshauri wakijilenga twende tuka t.mb, alafu unanibakishia mi namalizia. cha ajabu alimukula demu wangu. nilipogundua nilienda kwa mshikaji wangu aliyekuwa dereva wa tz-kongo aniazime AK 47 maana alipata kimagenddo baada ya kumpelekea mcongoman maharrage akampa hiyo bunduki. sasa jamaangu aliporudi home akaificha juu ya dari. nikaenda kumuomba rafiki yangu ile AK 47. jamaa akaninyima ikabidi nimchimbe biti naenda kwa kova. sasa jamaangu akabaa ikabidi akaitupe ile bunduki shamba flani ambayo iliokotwaga na askari (kama mlisikiaga bunduki iliokotwa shambani zamani kidogo 2006) .
kama angenipa ile punduki ningemwaga utumbo wa yule baby face. cha ajabu ata sijui yupo wapi mpaka leo
Umenimiss sana eeehErick Erick Erick yani sijui nisemeje
Ni zaidi ya kukumissUmenimiss sana eeeh
Hahaaa hahahaaa! Naona mkono wa buriani, jamaa anaaga mwili!Rest in peace mlaliwa
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Hii maana ake nini?
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Nyani ngabu ndio mimi pia
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Hilo jina ulilolitaja hapo ni lako ?au la nani yako?
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Humu wapo dinazarde wangapi ?
Naona umepata fan na wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23].We ulikua wapi kufanya yako haloo[emoji23][emoji23]
Ukifanya yako itakuwa vyema zaidi ya Dinazarde hayakusaidiii kwenye maisha yako
Unanilambisha likes umeona ile moja haitoshi [emoji8][emoji8][emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
[emoji381] [emoji381] [emoji382] [emoji382]Yatawashindaa halooo hawalali kufatilia dina na ngabu aisee sisi ni homa ya jf
Hata najiqoute si mchezoo sisi sio watu wa sport sportNaona umepata fan na wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23].
Lakini kwa vile wewe ndo mimi na mimi ndo wewe basi ma fans wote wa Nyani Ngabu ni ma fans wa Dinazarde [emoji23] [emoji23] [emoji23]