Weka picha ya kijana anaevutia

Weka picha ya kijana anaevutia

Nilishakuwaga na xmate wangu alikuwa handsome sana. alikuwa hana jeraha ata la kujikwaa. sasa vidada vya skuli vilikuwa vinampenda sana. kwa kuwa mimi nilikuwa rafiki yake namshauri wakijilenga twende tuka t.mb, alafu unanibakishia mi namalizia. cha ajabu alimukula demu wangu. nilipogundua nilienda kwa mshikaji wangu aliyekuwa dereva wa tz-kongo aniazime AK 47 maana alipata kimagenddo baada ya kumpelekea mcongoman maharrage akampa hiyo bunduki. sasa jamaangu aliporudi home akaificha juu ya dari. nikaenda kumuomba rafiki yangu ile AK 47. jamaa akaninyima ikabidi nimchimbe biti naenda kwa kova. sasa jamaangu akabaa ikabidi akaitupe ile bunduki shamba flani ambayo iliokotwaga na askari (kama mlisikiaga bunduki iliokotwa shambani zamani kidogo 2006) .

kama angenipa ile punduki ningemwaga utumbo wa yule baby face. cha ajabu ata sijui yupo wapi mpaka leo
Story yako inatusaidia nini
 
We ulikua wapi kufanya yako haloo[emoji23][emoji23]
Ukifanya yako itakuwa vyema zaidi ya Dinazarde hayakusaidiii kwenye maisha yako
 
dd8158436f8c7fd48a0308597e843f7d.jpg
Hii maana ake nini?
 
We ulikua wapi kufanya yako haloo[emoji23][emoji23]
Ukifanya yako itakuwa vyema zaidi ya Dinazarde hayakusaidiii kwenye maisha yako
Naona umepata fan na wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23].

Lakini kwa vile wewe ndo mimi na mimi ndo wewe basi ma fans wote wa Nyani Ngabu ni ma fans wa Dinazarde [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Unanilambisha likes umeona ile moja haitoshi [emoji8][emoji8]
Ascreenshot awatupie shilawadu wenziee
Halaf ile twisheni ya majibu uliyonipa naona imefanya kazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona umepata fan na wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23].

Lakini kwa vile wewe ndo mimi na mimi ndo wewe basi ma fans wote wa Nyani Ngabu ni ma fans wa Dinazarde [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata najiqoute si mchezoo sisi sio watu wa sport sport
 
[emoji381] [emoji381] [emoji382] [emoji382]
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji11][emoji11][emoji11]
Imeingiaaa kabisaaaa[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji126] [emoji126]
 
Back
Top Bottom