Weka picha ya kijana anaevutia

Mimi sijamzungumzia wa huku JF bali nimemzungumzia wa hapa jirani na hapa ninapoishi mkuu!!.....wa huku JF mimi wala simjui!
Na utaendelea kumsikia tu ,hata huyo jirani yako ana kazi kupata jirani anaefatilia mambo ya watu sijui yanakuongezea mshahara halo!!!!
 
Hilo swali ni kwa wanawake.
Siwezi kuleta picha ya mwanaume niseme anafaa....labda nilete picha ya Chocs wangu...kipenzi changu cha moyo.
Heeee tena uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu
 
Na utaendelea kumsikia tu ,hata huyo jirani yako ana kazi kupata jirani anaefatilia mambo ya watu sijui yanakuongezea mshahara halo!!!!
Kumbe michepuko siyo watu wa mchezo mchezo!![emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…