Weka taarifa za ada na ubora wa shule hapa ili kusaidia wazazi kufanya uamuzi sahihi

Weka taarifa za ada na ubora wa shule hapa ili kusaidia wazazi kufanya uamuzi sahihi

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Katika moja ya mambo ambayo huumiza kichwa ni mzazi kufanya maamuzi ya shule ipi binafsi apeleke mwanae kwa masomo ya O level na A level.

Tuweke taarifa au swali kuhusu ada na ubora wa shule na pia michango.

Naanza kuuliza shule ya Kaizirege, Cannosa na Marian Boys
 
Marian boys ada ni 3,700,000(approx.) kwa form three na four.
Asante mkuu, pia nimeipata taarifa kwamba kemmibos/kaizirege ada 3,500,000/ ila sijajua michango yao inaenda mpaka shilingi ngaoi
 
Marian Boys huwakosi kwenye shule kumi Bora kitaifa Kila mwaka
 
Kama unataka shule za o level moshi zenye hostel wasiliana na mm
Ada 550000-700000
Call
0764616353
 
Karibu kwa wanaotaka ufadhili wa masomo Advance!

ProductMarketingAdMaker_26042022_115453.png
 
Karibu kwa wanaotaka ufadhili wa masomo Advance!

View attachment 2222151

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA​

ACSEE 2021 EXAMINATION RESULTS​

S4797 FARAJA SIHA SEMINARY​

DIVISION PERFORMANCE SUMMARY

SEX
I
II
III
IV
0

F​
0​
5​
3​
1​
0​

M​
1​
7​
4​
2​
2​

T​
1​
12​
7​
3​
2​


CNO
SEX
AGGT
DIV
DETAILED SUBJECTS
S4797/0501​
F​
10​
II​
G/STUDIES - 'D' HISTORY - 'C' GEOGR - 'C' DIVINITY - 'E' BAM - 'F' ECONOMICS - 'D'​
S4797/0502​
M​
13​
III​
G/STUDIES - 'E' HISTORY - 'D' GEOGR - 'D' DIVINITY - 'C' BAM - 'E' ECONOMICS - 'E'​
S4797/0503​
M​
12​
II​
G/STUDIES - 'D' HISTORY - 'D' GEOGR - 'D' DIVINITY - 'S' BAM - 'S' ECONOMICS - 'D'​
S4797/0504​
M​
14​
III​
G/STUDIES - 'S' HISTORY - 'E' GEOGR - 'D' DIVINITY - 'E' ENGLISH - 'E'​
S4797/0505​
M​
12​
II​
G/STUDIES - 'D' HISTORY - 'D' GEOGR - 'D' DIVINITY - 'F' ENGLISH - 'D'​
S4797/0506​
M​
14​
III​
G/STUDIES - 'D' HISTORY - 'D' GEOGR - 'E' DIVINITY - 'S' ENGLISH - 'E'​
S4797/0507​
M​
9​
I​
G/STUDIES - 'D' HISTORY - 'C' GEOGR - 'D' DIVINITY - 'D' ENGLISH - 'B'​
S4797/0508​
M​
12​
II​
G/STUDIES - 'C' HISTORY - 'D' GEOGR - 'D' DIVINITY - 'E' ENGLISH - 'D'​
S4797/0509​
F​
12​
II​
G/STUDIES - 'E' HISTORY - 'D' DIVINITY - 'D' KISWAHILI - 'D' ENGLISH - 'D'​
S4797/0510​
F​
10​
II​
G/STUDIES - 'D' HISTORY - 'D' DIVINITY - 'E' KISWAHILI - 'C' ENGLISH - 'C'​
S4797/0511​
F​
11​
II​
G/STUDIES - 'D' HISTORY - 'D' DIVINITY - 'C' KISWAHILI - 'C' ENGLISH - 'D'​
S4797/0512​
M​
10​
II​
G/STUDIES - 'D' HISTORY - 'C' DIVINITY - 'D' KISWAHILI - 'C' ENGLISH - 'D'​
S4797/0513​
M​
11​
II​
G/STUDIES - 'E' HISTORY - 'C' DIVINITY - 'S' KISWAHILI - 'C' ENGLISH - 'E'​
S4797/0514​
F​
12​
II​
G/STUDIES - 'D' DIVINITY - 'D' PHYSICS - 'D' CHEMISTRY - 'D' BIOLOGY - 'D' BAM - 'C'​
S4797/0515​
F​
19​
IV​
G/STUDIES - 'D' DIVINITY - 'E' PHYSICS - 'F' CHEMISTRY - 'F' BIOLOGY - 'E' BAM - 'F'​
S4797/0516​
F​
15​
III​
G/STUDIES - 'D' DIVINITY - 'E' PHYSICS - 'E' CHEMISTRY - 'E' BIOLOGY - 'E' BAM - 'E'​
S4797/0517​
M​
20​
0​
G/STUDIES - 'E' DIVINITY - 'F' PHYSICS - 'F' CHEMISTRY - 'F' BIOLOGY - 'S' BAM - 'F'​
S4797/0518​
M​
21​
0​
G/STUDIES - 'E' DIVINITY - 'F' PHYSICS - 'F' CHEMISTRY - 'F' BIOLOGY - 'F' BAM - 'F'​
S4797/0519​
M​
19​
IV​
G/STUDIES - 'D' DIVINITY - 'E' PHYSICS - 'F' CHEMISTRY - 'S' BIOLOGY - 'S' BAM - 'F'​
S4797/0520​
M​
12​
II​
G/STUDIES - 'D' DIVINITY - 'F' PHYSICS - 'D' CHEMISTRY - 'D' BIOLOGY - 'D' BAM - 'E'​
S4797/0521​
F​
15​
III​
G/STUDIES - 'D' GEOGR - 'D' DIVINITY - 'C' CHEMISTRY - 'S' BIOLOGY - 'E' BAM - 'F'​
S4797/0522​
F​
15​
III​
G/STUDIES - 'D' GEOGR - 'D' DIVINITY - 'S' CHEMISTRY - 'S' BIOLOGY - 'E' BAM - 'F'​
S4797/0523​
M​
18​
IV​
G/STUDIES - 'D' GEOGR - 'D' DIVINITY - 'E' CHEMISTRY - 'F' BIOLOGY - 'F' BAM - 'F'​
S4797/0524​
M​
12​
II​
G/STUDIES - 'D' GEOGR - 'D' DIVINITY - 'E' CHEMISTRY - 'D' BIOLOGY - 'D' BAM - 'E'​
S4797/0525​
M​
16​
III​
G/STUDIES - 'D' GEOGR - 'D' DIVINITY - 'D' CHEMISTRY - 'F' BIOLOGY - 'E' BAM - 'F'​
sasa kwa matokeo haya unampeleka mtoto wa division 1-7 akafanye nini jamani
 
Unamaanisha nini? Walitoka kwenye list ya kumi bora kwa maana kuwa list iliyotoka walikuwemo, au walitoka kwa maana kuwa hawakuwemo kwenye list?
Hawakuwemo kwenye list.Mimi ni mwanafunzi wa mwaka jana form four.Hatukuingia top ten.
 
Ww kama unahtaji nichek kwa namba hizo halo juu
Shule zipo nyingi kulingana na jinsia ya mtoto wako
Lakini zote zipo mkoa wa Kilimanjaro

Sihitaji ila iwe rahisi kwa wanaohitaji.. labda kama ni biashara yako..
 
Hawakuwemo kwenye list.Mimi ni mwanafunzi wa mwaka jana form four.Hatukuingia top ten.
Kipindi chetu miaka ya mwishoni mwa 80 karibu na tisini, shule yetu Nsumba Sekondari (Mwanza mjini) ilikuwa inakuwa among the top 3 kitaifa. Tulikuwa tunapambana na shule mbili tu ambazo mojawapo ilikuwa ni Rubya Seminari, iko Kagera
 
Back
Top Bottom