Weka urafiki na wanajeshi (bakabaka) hutojutia

Hakuna mtu wa kumtoa Mtu mwingine kinguvu awapo kituo cha Polisi, hii yako ni Chai kama chai zingine
tz hii au nchi nyingine?. kama mbunge wako tu kule jimboni kwenu anaweza kutoa order kwa askari polisi usukumiwe ndani siku mbili bila maelezo kisa tu kahisi unatembea na mchepuko wake, atashindwa mwanajeshi senior kwenda kutoa order ndg yake atolewe kituoni?.
 
Hawa watu wanabishana tu wamekaa kwenye masofa ndani.
 
Mtu mwenye mamlaka ya kukusukumia ndani ni DC au RC na law enforcers, Mbunge hana mamlaka ya kuliamrisha Jeshi la Polisi kukuweka ndani. Vinginenyo alalamike kama tu wananchi wengine
 
Mtu mwenye mamlaka ya kukusukumia ndani ni DC au RC na law enforcers, Mbunge hana mamlaka ya kuliamrisha Jeshi la Polisi kukuweka ndani. Vinginenyo alalamike kama tu wananchi wengine
Acha utoto.

Watu wenye pesa wanaweka maskini rumande kwa ku command polisi nataka akae ndani

Hivi nyinyi mnaishi wapi kujifanya hamuoni yanayotokea?

Ukubali ukatae wapo watu wakifika stakshari wana command mtu wangu atoke na anatoka na wapo watu wanaingizwa na mtu sababu ana pesa.
 
Classmate wangu sio chini ya 10 ni masoja wana jiwe moja muhimu kujipata ili niende nao sawa.
 
Mtu mwenye mamlaka ya kukusukumia ndani ni DC au RC na law enforcers, Mbunge hana mamlaka ya kuliamrisha Jeshi la Polisi kukuweka ndani. Vinginenyo alalamike kama tu wananchi wengine
huna akili.
 
Kitu usichojua siku zote kwenye makosa madogo madogo polisi na jwtz hubebana na hii hutokana na lengo la kujenga uhusiano mzuri maana vyombo hivi mara kadhaa hufanya joint work/operation.Hakuna polisi anayepelekeshwa katika majukumu yake hizo stori zako za uongo peleka kijijini kwenu ukawadanganye.

Halafu mwandiko wako kama askari wa zima moto hivi.[emoji23]
 
m mimi ni raia niliewah kuonewa ndio maana nafurah kamanda wanavyowapasuaga mkiingia anga zao
 
Naunga mkono hoja,baba baka watu fresh sana sema tu raia nao wanazingua.Mimi nimeishi sana kambini kutokana na kwamba ilikuwa nyuma yetu kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…