ya mufindi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 569
- 888
Kuna kazi ya kulisafisha shamba (ku pluni miti) kila mwaka, hapo bado majanga ya motoKwa hesabu yako sidhani kama inalipa....
mapato baada ya miaka minne 4.2M ; mapato ukigawa kwa kila mwaka 1m..,
Gharama umeweka laki tisa tu ya kununua sidhani kama hakuna gharama nyingine..
Hizo hesabu hata kwa uhalisia hazivutii kabisaHizo hesabu ni rahisi kuliko uhalisia.
katika uwekezaji huu riski kuu ni majanga ya moto tu ambayo nayo yapo controlled kwa kiasi kikubwa na yanazuilika kwa fire line
pia siyo hesabu za karatasi kwan hupalilii,huweki mbolea wala kumwagilia
Hizi hesabu za kwenye makaratasi ni nzuri sana...
Tafadhali tufahamishe kuna risk gani kubwa kwenye hii biashara maana watu wasiingie kwenye biashara wakiwa na positive thought tu.
mashamba yapo kilosa kata ya ihanu moto siku hizi hakunaMufindi kubwa! Hayo mashamba yanapatikana maeneo gani? Mapanda, Ihanu, Ifwagi, Sawala, Luhunga, Mdabulo, Bumilayinga, Kibao, Itona,........!
Na vipi kuhusu historia ya moto kwenye hayo maeneo? Maana huo mti wa pine ukishika tu moto hugeuka kuwa petroli! Bora hata ya mlingoti.
mashamba yapo kilosa kata ya ihanu moto siku hizi hakunaMufindi kubwa! Hayo mashamba yanapatikana maeneo gani? Mapanda, Ihanu, Ifwagi, Sawala, Luhunga, Mdabulo, Bumilayinga, Kibao, Itona,........!
Na vipi kuhusu historia ya moto kwenye hayo maeneo? Maana huo mti wa pine ukishika tu moto hugeuka kuwa petroli! Bora hata ya mlingoti.
mkuu risk kubwa ni moto tu japo kwa sasa sio janga kutokana na elimu na patrol ya vikosi vya sao hill japo mwaka jana binafsi niliunguliwa na ekari44Hizi hesabu za kwenye makaratasi ni nzuri sana...
Tafadhali tufahamishe kuna risk gani kubwa kwenye hii biashara maana watu wasiingie kwenye biashara wakiwa na positive thought tu.
Kuchomewa motoHizi hesabu za kwenye makaratasi ni nzuri sana...
Tafadhali tufahamishe kuna risk gani kubwa kwenye hii biashara maana watu wasiingie kwenye biashara wakiwa na positive thought tu.
Kati ya pine, bodo bodo na mikaratusi ipi yenye soko zuri? Kwann wengi hawapandi mikaratusi?ni uwekezaji mzuri ni kama umeweka pesa bank kwenye fixed account
mfano huku mufindi ekari moja utainunua kwa tsh900000 amoja na ardhi miti ikiwa na miaka6 so ekari moja ina miti600 baada ya miaka minne ijayo kila mti utauuza wastani tsh 7000
600*7000=4200000 kila ekari na unapanda tena njoo uwekeze
0716101434
picha hazitak ku upload
mzee hiyo ni ekari moja ukiwa nazo kumi je?Hizo hesabu hata kwa uhalisia hazivutii kabisa
kusubiri ni poa sasa fikiria inabidi usomeshe watoto,ujenge nyumba so inabidi uuze tu600*7000=4200000 kila ekari na unapanda tena! Km ni hv why mnauza mashamba msisubirie kuvuna?