christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
Nacheka kweli yaani wafungwe horoya waumie wengine.Maumivu ni makali sana upande wa pili [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nacheka kweli yaani wafungwe horoya waumie wengine.Maumivu ni makali sana upande wa pili [emoji1787][emoji1787]
Muonage aibu ww 98 mbali kote huku yaan unazaa mtoto anakaribia chuo hamjawahi kufika robo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata Yanga alipiga Coffee ya Ethiopia bao 6 mwaka 98 na kutinga hatua ya makundi.
Hii timu sio kipimo kizuri kwa Simba kwa hatua inayofuata.
Mimavi imekunasia kinyeoni kachambe hukoSimba bado timu mbovu
Mashabiki wengi wa Tanzania hamjui mpira
Raja atalipa kisasi
.Simba bado timu mbovu
Mashabiki wengi wa Tanzania hamjui mpira
Raja atalipa kisasi
[emoji1787][emoji1787] Timu inayo jielewa haiwezi kuwa shirikisho mkuu ..Upande wa pili awawezi kuwa na maumivu kwakuwa wanayo timu ya uhakika na sio kubahatisha bahatisha, na kesho wanakwenda kucheza na Timu inayojielewa sio horoya
Hv kweli zinakutosha aiseeHata Yanga alipiga Coffee ya Ethiopia bao 6 mwaka 98 na kutinga hatua ya makundi.
Hii timu sio kipimo kizuri kwa Simba kwa hatua inayofuata.
Nakwambia hivi, kwa vyovyote huijui historia ya vilabu vya Afrika, na haujui trends za Horoya ndio maana unailinganisha na Coffee sijui Zalan. Hii Horoya ilishachukua ubingwa wa Cup Winners Cup, ilishaingia semi na quarter finals mara kibao, ilishaingia magroup ya CAF CL mara kibao, na hadi leo katika ranking ipo juu ya Simba. Sasa kama tunazungumza klabu iliyo juu ya Simba halafu wewe unaleta habarai za Yanga au Coffe, si ni kama unaleta kituko tu?Hata Yanga alipiga Coffee ya Ethiopia bao 6 mwaka 98 na kutinga hatua ya makundi.
Hii timu sio kipimo kizuri kwa Simba kwa hatua inayofuata.
Wewe mwenyewe hapo unaandika kwa uchungu 😁😁😁, badala ya kusema hatuwezi kuwa na maumivu, eti unajitoa unasema hawawezi kuwa na maumivu 😁😁😁Upande wa pili awawezi kuwa na maumivu kwakuwa wanayo timu ya uhakika na sio kubahatisha bahatisha, na kesho wanakwenda kucheza na Timu inayojielewa sio horoya
98 ni 25yrs mtu kamaliza chuo mwaka juzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muonage aibu ww 98 mbali kote huku yaan unazaa mtoto anakaribia chuo hamjawahi kufika robo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umevurugwaa wee, sasa raja wako hata afunge 20 atabadilisha nn ? Sisi tushatinga robo final.Simba bado timu mbovu
Mashabiki wengi wa Tanzania hamjui mpira
Raja atalipa kisasi
Mbona unaumia?Kwani si kweli?Nakwambia hivi, kwa vyovyote huijui historia ya vilabu vya Afrika, na haujui trends za Horoya ndio maana unailinganisha na Coffee sijui Zalan. Hii Horoya ilishachukua ubingwa wa Cup Winners Cup, ilishaingia semi na quarter finals mara kibao, ilishaingia magroup ya CAF CL mara kibao, na hadi leo katika ranking ipo juu ya Simba. Sasa kama tunazungumza klabu iliyo juu ya Simba halafu wewe unaleta habarai za Yanga au Coffe, si ni kama unaleta kituko tu?
Hizo pesa zipo tu, ila vikombe ndio issue.