Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
AiseeHata Yanga alipiga Coffee ya Ethiopia bao 6 mwaka 98 na kutinga hatua ya makundi.
Hii timu sio kipimo kizuri kwa Simba kwa hatua inayofuata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeHata Yanga alipiga Coffee ya Ethiopia bao 6 mwaka 98 na kutinga hatua ya makundi.
Hii timu sio kipimo kizuri kwa Simba kwa hatua inayofuata.
Ukiweka hapa kombe la loosers niite Baba yako nimekaa pale [emoji117][emoji87]Acha wivu, siyo kombe la loosers Hilo.
Kumbe huwa unalowaga nyuma?
Sisi Makolokolo tunataka zile B 26 za mchongo tujue zimeingia kwenye akaunti gani ya Mbumbumbu FC [emoji23]
Horoya kwa namna wanavyocheza ilikuwa halali wapigwe nyingi, kwanza hawakumuheshimu mpinzani ambaye yuko nyumbani kwake, wameingia kwenye mchezo wakafunguka kuanzia dk ya kwanza ya mchezo, na hapo hapo wakashindwa kujielewa kwamba sio wazuri ni timu ya kawaida sana ambayo nafikiri bado wanajitafuta ili kurudi kwenye ule ubora waliokuwa nao misimu miwili iliyopita ambapo waliuza wachezaji wengi sana na kuacha wengi pia.
Sasa unapokutana na timu kama hii basi zitumie nafasi unazopata kiuhakika na ndicho walichofanya simba leo, kujisifu sana pia dhidi ya timu kama hii napo sio sahihi sana, unaweza ukajiona bora kumbe uliyekutana nae pia ni garasa.
Hongereni jiandaeni vizuri dhidi ya wanaokuja kwenu ambao sio tena horoya bali ni timu haswaaa.
Yaani niumiewakati nimeshinda goli 7 - 0 ? 😁😁😁 naona hujui wanaoumia wewe 😁Mbona unaumia?Kwani si kweli?
🤣🤣 Kwakweli anywe maji mengi ili walau apate muda wa kukojoa asisumbuke na ushindi wa simba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sijui niandike nn, nimezidiwa furahaaa.
Kwa kifupii kunywa maji mengi, yakizidi muone daktari
Poleeeee sanaaaa
Utakuta muandishi uliandika ujinga mwingine "jinsi horoya walivyofungwa na Raja Kwa tabu Morocco hao jamaa sio wa mchezo " Hii ni club bingwa ukiingia robo kama ivyo unavuna point 10 mwakani unapangwa na mnyonge na unaendelea kuliakikishia taifa ushiriki WA team 4Horoya kwa namna wanavyocheza ilikuwa halali wapigwe nyingi, kwanza hawakumuheshimu mpinzani ambaye yuko nyumbani kwake, wameingia kwenye mchezo wakafunguka kuanzia dk ya kwanza ya mchezo, na hapo hapo wakashindwa kujielewa kwamba sio wazuri ni timu ya kawaida sana ambayo nafikiri bado wanajitafuta ili kurudi kwenye ule ubora waliokuwa nao misimu miwili iliyopita ambapo waliuza wachezaji wengi sana na kuacha wengi pia.
Sasa unapokutana na timu kama hii basi zitumie nafasi unazopata kiuhakika na ndicho walichofanya simba leo, kujisifu sana pia dhidi ya timu kama hii napo sio sahihi sana, unaweza ukajiona bora kumbe uliyekutana nae pia ni garasa.
Hongereni jiandaeni vizuri dhidi ya wanaokuja kwenu ambao sio tena horoya bali ni timu haswaaa.
Hawapati hiyo pesa
watu tunaenda na malengo yeye analeta habar ya visasi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umevurugwaa wee, sasa raja wako hata afunge 20 atabadilisha nn ? Sisi tushatinga robo final.
Hizo zingine sio shida zetu.
Hapo namaanisha hadhi ya mashindano,nyie mnacheza Loosers League.Hizo pesa zipo tu, ila vikombe ndio issue.
Umelowa huko nyumaSisi Makolokolo tunataka zile B 26 za mchongo tujue zimeingia kwenye akaunti gani ya Mbumbumbu FC [emoji23]
Leo wanakeketwa live.Hawapati hiyo pesa
Iko hivi.
Wanafungwa na Momastir wanabaki na point zao Saba Momastir anafikisha alama 13..
Mazembe anashinda dhidi ya Bamako na anafikisha alama 6 na morali yake inaongezeka. Mechi ya mwisho Mazembe anampiga Utopolo anafikisha alama 9, Utopolo anabaki na alama zake 7 anaachwa kwenye mataa na safari inaishia hapo.
Utopolo tumeshawazoea, Simba alipofungwa kule Guinea mlisema Simba hafiki popote kakutana na wababe. Leo hii kashinda wale wababe wamekua vibonde poleni sanaHoroya kwa namna wanavyocheza ilikuwa halali wapigwe nyingi, kwanza hawakumuheshimu mpinzani ambaye yuko nyumbani kwake, wameingia kwenye mchezo wakafunguka kuanzia dk ya kwanza ya mchezo, na hapo hapo wakashindwa kujielewa kwamba sio wazuri ni timu ya kawaida sana ambayo nafikiri bado wanajitafuta ili kurudi kwenye ule ubora waliokuwa nao misimu miwili iliyopita ambapo waliuza wachezaji wengi sana na kuacha wengi pia.
Sasa unapokutana na timu kama hii basi zitumie nafasi unazopata kiuhakika na ndicho walichofanya simba leo, kujisifu sana pia dhidi ya timu kama hii napo sio sahihi sana, unaweza ukajiona bora kumbe uliyekutana nae pia ni garasa.
Hongereni jiandaeni vizuri dhidi ya wanaokuja kwenu ambao sio tena horoya bali ni timu haswaaa.
Timu ambazo hazijaingia makundi si ndio vilaza kama akina Kipanga, Zalan ambao unakuta wanapigwa nyingiHata Yanga alipiga Coffee ya Ethiopia bao 6 mwaka 98 na kutinga hatua ya makundi.
Hii timu sio kipimo kizuri kwa Simba kwa hatua inayofuata.
Sasa unaumia nn sisi tushaingia Robo finalUkiweka hapa kombe la loosers niite Baba yako nimekaa pale [emoji117][emoji87]
Hata hapo Makolokolo mlipofikia ni michongo ya hali ya juu la sivyo kitambo tungekuwa tusharudi mchangani.
Hutaki ambatanisha goli la Vipers la offside hapa niwacheke vizuri Mbumbumbu FC [emoji1787]
Atuacheeee kabisaaa yaan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] Kwakweli anywe maji mengi ili walau apate muda wa kukojoa asisumbuke na ushindi wa simba