Wema aanika sababu za kummwaga Diamond

Wema aanika sababu za kummwaga Diamond

Wanapendana vip wakat wema hajiamini kabisa kwa domo yani hapo wema hana ngao kabisaaaaaaa natabir hata warudiane hakunaga ndoa hapo

Hakuna ndoa wala kutolewa barua ya uchumba? Uhusiano gan huo, kajisemea masanja mnakaa kwenye uhusiano kama mnasomea udaktari
 
Heeeeeee wema lini ushakua na ushoga na zari hheloooooi ashakua shoga yako au ndo unataka uwe mbeba pochi niniii
Hilo paja wema sio la kuacha nje tena uwe unalifunika tu halivutiii
Diamond baba bado mdogo na una akili sana huwezi oa gume gume la mjini wa kuolewa sio wema aolewe na club tu na pombe
Dai umejibu vizuriii

shoga angu we acha mfa maji haishi kutapataa haki ya mama
ushoga na zari tenaaa
 
NinachomshangaaWema ni kitu kimoja tu, umri wa yeye kuolewa ndio huu hajitambuwi anasubiri ageuke kwasukwasu ndio aje MMU na thread za kipumbavu kulaumu wanaume yeye anadhani mwanaume gani asiyetaka kufaidi utamu wa mke wake wakati bado yuko hot?
 
Hihihiiii nimekunywa supu ya ulimi na chapati nne 😉, apa ni umbea mpaka mchana, nipo zangu om jobless mie kama kawa channel zote zinanikoma, mpaka dstv watajuta maana bundle naitumia ipasavyo

Upo ka roho chapati 4 sikuwezii mwenzio nishapunguza kula nakula kiasi nataka niwe model binam utanikomajeeeee
 
Mrembo by Nature aje tu kwa kweli labda atakuwa anaujua vizur ushoga wa wema na zari maana izi habar kwangu ni breaking news kama sio exclusive looh!! Sio kujipendekeza uku eti zari shoga angu, warumi alivyokuwa mbea si angeshajua, we ngoja sintah amsikie atakoma vichambo vyake

Mi akija mrembo simo kabisaaaa kwanza hata huko nimeandika nimelewa hao,,,usinihusishee kabisaaa naona unata kutuchonganisha na Mrembo aku
 
Last edited by a moderator:
NinachomshangaaWema ni kitu kimoja tu, umri wa yeye kuolewa ndio huu hajitambuwi anasubiri ageuke kwasukwasu ndio aje MMU na thread za kipumbavu kulaumu wanaume yeye anadhani mwanaume gani asiyetaka kufaidi utamu wa mke wake wakati bado yuko hot?

Umeona eeee ataolewa wazee maana ona hilo paja lilivyo na milima sijui kufikia mwaka kesho atakua na hali ganii
 
Watajua wenyewe hayanihusu hata wakiachana kivyao

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ni shidaa arudi tu China tenaaa

hakuna hata haja ya kurudi china.
Angefanya diet tu na mazoezi.
Kuounguza pombe na manyama choma, mbona mwili unakaa poa sana.
Kuliko hata hayo ma-operation yao wanayofanyiwa.
 
NinachomshangaaWema ni kitu kimoja tu, umri wa yeye kuolewa ndio huu hajitambuwi anasubiri ageuke kwasukwasu ndio aje MMU na thread za kipumbavu kulaumu wanaume yeye anadhani mwanaume gani asiyetaka kufaidi utamu wa mke wake wakati bado yuko hot?
Lakini jamani ngoja nimtetee Wema anatamani kuolewa na chibu leo kesho lakini ndomo ndio haeleweki...kajipendekeza kwa wakwe hadi kachoka mtoto wa watu ramadhani yote ile alikua anapika futari akidhani baada ya hapo ni ndoa lakini ndomo kamgeuka...
 
Back
Top Bottom