Ragnar Fluke
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 374
- 116
Hlo paja limechoka sana.... sio la kulianika hvyo.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapendana vip wakat wema hajiamini kabisa kwa domo yani hapo wema hana ngao kabisaaaaaaa natabir hata warudiane hakunaga ndoa hapo
Si nasikia mganga wake kamwambia akioa nyota yake itashuka, wema aolewe tu na mmasai atulie zake aachane na ndomo
Hakuna ndoa wala kutolewa barua ya uchumba? Uhusiano gan huo, kajisemea masanja mnakaa kwenye uhusiano kama mnasomea udaktari
Si nasikia mganga wake kamwambia akioa nyota yake itashuka, wema aolewe tu na mmasai atulie zake aachane na ndomo
Heeeeeee wema lini ushakua na ushoga na zari hheloooooi ashakua shoga yako au ndo unataka uwe mbeba pochi niniii
Hilo paja wema sio la kuacha nje tena uwe unalifunika tu halivutiii
Diamond baba bado mdogo na una akili sana huwezi oa gume gume la mjini wa kuolewa sio wema aolewe na club tu na pombe
Dai umejibu vizuriii
shoga angu we acha mfa maji haishi kutapataa haki ya mama
ushoga na zari tenaaa
Hihihiiii nimekunywa supu ya ulimi na chapati nne 😉, apa ni umbea mpaka mchana, nipo zangu om jobless mie kama kawa channel zote zinanikoma, mpaka dstv watajuta maana bundle naitumia ipasavyo
Mrembo by Nature aje tu kwa kweli labda atakuwa anaujua vizur ushoga wa wema na zari maana izi habar kwangu ni breaking news kama sio exclusive looh!! Sio kujipendekeza uku eti zari shoga angu, warumi alivyokuwa mbea si angeshajua, we ngoja sintah amsikie atakoma vichambo vyake
NinachomshangaaWema ni kitu kimoja tu, umri wa yeye kuolewa ndio huu hajitambuwi anasubiri ageuke kwasukwasu ndio aje MMU na thread za kipumbavu kulaumu wanaume yeye anadhani mwanaume gani asiyetaka kufaidi utamu wa mke wake wakati bado yuko hot?
Upo ka roho chapati 4 sikuwezii mwenzio nishapunguza kula nakula kiasi nataka niwe model binam utanikomajeeeee
hahahahahahhha, au unafanya diet na upande wa pili.
Sema tu binam tuwe tunakukumbusha kupima uzito teh teh
Ni shidaa arudi tu China tenaaa
Lakini jamani ngoja nimtetee Wema anatamani kuolewa na chibu leo kesho lakini ndomo ndio haeleweki...kajipendekeza kwa wakwe hadi kachoka mtoto wa watu ramadhani yote ile alikua anapika futari akidhani baada ya hapo ni ndoa lakini ndomo kamgeuka...NinachomshangaaWema ni kitu kimoja tu, umri wa yeye kuolewa ndio huu hajitambuwi anasubiri ageuke kwasukwasu ndio aje MMU na thread za kipumbavu kulaumu wanaume yeye anadhani mwanaume gani asiyetaka kufaidi utamu wa mke wake wakati bado yuko hot?