Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa nyie endeeni kumchokoza pilipili hapa anawafuatilia tu mtakuta vichambo vyenu kule tayari.....hahahaaa hii ligi tam hatariii
Aje huku kama anajiweza anakimbia adui aoshe vizee huko mbea kweli anatukubali lakini hataki ijulikaneee
Lakini jamani ngoja nimtetee Wema anatamani kuolewa na chibu leo kesho lakini ndomo ndio haeleweki...kajipendekeza kwa wakwe hadi kachoka mtoto wa watu ramadhani yote ile alikua anapika futari akidhani baada ya hapo ni ndoa lakini ndomo kamgeuka...
Wewe ndio hujanielewa, i mean anatakiwa aachane na Diamond na abadirike waowaji wapo wengi tu, ila kama anataka kuolewa na Superstar nampa pole yake hakunaga ndoa ya Masuperstar.
Mkitaka kutoa mfano wa Jayzee mtakuwa mnajidanganya wenyewe, Wema inatakiwa awe na mahusiano na mtu ambaye si maarufu wala wa media atayafurahia maisha yake.
Hoyce Temu na Faraja Kota wote wameolewa na watu wenye pesa na maisha yanakwenda safi, why not Wema Sepetu? Kujichanganya na waswahili walioishia darasa la saba kwa ajili ya pesa atakuja kujuta maisha yake yote.
heee mmewe muuza uduvi aisdanganye kutwa umbea jf ukiona kannua bando bas kapata hela ya samaki
Wizara nyeti ndio hiyo ya kuuza samaki jamaniii we ulidhani wizara ganiii
Nyoo kula mwenyewe , lione kwanza nfyuu hatutaki shombo sie, ndo maana una kilo 75 chezeya samaki waliododa weye
Si ulisema yupo karibu na muheshimiwa first class wewe? Looh hakyanani leo tunampunzisha mama ubaya kumpa vichambo tunahamia kwako, ebu geniveros kuja apa atuelezee vizur, inabid tumtoroshe uko nyamagana aje uku dar na fast jet tumtafutie madanga wa maana , na hiko kimeo cha huawei abadilishe anunue galaxy kama ya lucy komba
Nilimwambiaga binamu nikutafutie pedeshee, akasema ooh msukuma wangu anajiweza ananipa kila kitu, kumbe anampa sato na sangara khaa!! Binamu muongo, ana vichambo vyake apa vya haja
Nilimwambiaga binamu nikutafutie pedeshee, akasema ooh msukuma wangu anajiweza ananipa kila kitu, kumbe anampa sato na sangara khaa!! Binamu muongo, ana vichambo vyake apa vya haja
Hahahahaha yani nimecheka sana binamu.Yeye anaona kapata kwa hizo sato na sangara wakati wenzake wanakula good time.Ungemtafutia may be sasa hivi angekuwa kaishabadilisha kale kavitz kake
Mi nna bajaji mwenzangu vitz niinyee wapii
Ngoja niweke leo pilipili Pakashume wasiponunua naroga haki ya mamaaa
Binamu nyie muongo, sina hamu nae, aje dar na lori tucheze upatu uku kwetu kwa mtogore
Na kweli ndo maana umepauka na hivi jf kuipata mpaka uwe vumbini umepaukajeee,,afadhal we mshahara mi mpaka niuze samakii niongezee mtaji basiii
nisipauke mchezo chaki hizo na tb inaniita
samaki hao unywe maziwa tb ohooooo
Utapauka sanaaaaa