Wema aanika sababu za kummwaga Diamond

Wema aanika sababu za kummwaga Diamond

km ana kinena cha kike anajiamini aje huku
kule anatupa umaarufu mavi
anatuogopa ndo maana stress za boksi hizo
ht martenity huna wala samaki wa bure hupati

Hahahaaaa mwenyewe anasema bora mkaanga samaki....
 
Wewe ndio hujanielewa, i mean anatakiwa aachane na Diamond na abadirike waowaji wapo wengi tu, ila kama anataka kuolewa na Superstar nampa pole yake hakunaga ndoa ya Masuperstar.

Mkitaka kutoa mfano wa Jayzee mtakuwa mnajidanganya wenyewe, Wema inatakiwa awe na mahusiano na mtu ambaye si maarufu wala wa media atayafurahia maisha yake.

Hoyce Temu na Faraja Kota wote wameolewa na watu wenye pesa na maisha yanakwenda safi, why not Wema Sepetu? Kujichanganya na waswahili walioishia darasa la saba kwa ajili ya pesa atakuja kujuta maisha yake yote.

like like like like
 
Ha ha ha uwiii eti mwisho wa likizo ni lini au siku 28 kama ilivo sheria ya Tanzania....hii ni zaidi ya kejeli pole wema!!!!
 
nifah nimeona nimechekaaa eti bora mkaanga samaki hhhhhhhaaa

binamu ndugu yako ana hasira akikuta msg moja anatuma nane anapanik hatarii vizee vinampanikisha kuwachambisha
 
Last edited by a moderator:
Halaf hao wanaotusapoti maskini sijui ni kina naniii

hahahaaaaaa....!!!kavurugwa hatari anajifanya hana mda wa kujiunga jf mbona anatusoma sie tu si aende mmu au jukwaa la lugha ana hasira na mie huyoo km tunashare bwana
 
hahahaaaaaa....!!!kavurugwa hatari anajifanya hana mda wa kujiunga jf mbona anatusoma sie tu si aende mmu au jukwaa la lugha ana hasira na mie huyoo km tunashare bwana

Hhhhhhaaaaaa, ,utakuta hana hata mia huyo aje nikaange nae samakii
 
Hhhhhhaaaaaa, ,utakuta hana hata mia huyo aje nikaange nae samakii

umeona eeh muache atupe umaarufu nnya...!!na anavyotupenda sasa anasoma comments zetu tu...!!
ashukuriwe maana anaongeza idadi ya viewers jf na members
 
umeona eeh muache atupe umaarufu nnya...!!na anavyotupenda sasa anasoma comments zetu tu...!!
ashukuriwe maana anaongeza idadi ya viewers jf na members

Na atatusoma kila siku akizidiwa ajiungeeeee jf
 
Kwahiyo ndomo hapo kwa Zari anaona Mwenyezi Mungu kamuandalia kizuri.....thubutuuuuuu!!!
Unless akubali kufanywa mbeba pochi wake!
 
Mmh! Mama ubaya na wewe toka lini ukawa na ushoga na zari? Nfyuu kujipendekeza tu ngoja mwenye shoga sintah akusikie, Dinazarde mwenzangu apa siku yeyote tujiandae kuchambwa hawa mbwa soon watarudiana tutakomaje?

Projecti ya fundi seremala
 
Last edited by a moderator:
anajipa moyo eti nna maudaku ningekua jf ningekua makamu wa warumi halooooowww
warumi ana shda ya makamu kwani?au kujipendekeza tuuuu

Heheeeeeeee tenaaaa,tenaaaaaaa amkomee warumi, ,hivi ashawah sikia tu kampigwa risasi ya ta.ko ooooooooh
 
Last edited by a moderator:
Mim huyu huyu msukuma mkokoteni nimeridhika nae binam sitak mapedejeeee

Ahah kuna nyimbo ya dini wanaimbaga ivi "hyo ni chaguo lake, ata kama ni mlevi, msukuma mikokoteni, kiwete ndo kazaliwq kwa ajili yako, ile nyimbo inanifuraisha ssna ina mambo ya ajabu, yan sistr duu kama Dinazarde ukawe na kiwete au kipofu si utani huo
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha yani nimecheka sana binamu.Yeye anaona kapata kwa hizo sato na sangara wakati wenzake wanakula good time.Ungemtafutia may be sasa hivi angekuwa kaishabadilisha kale kavitz kake

Nimemwambia apande roli jumamos nimpeleke tanga tukaroge apate pedeshee, gharama zote juu yangu, mwambie achangamke huyo ooh
 
Back
Top Bottom