Nikuchekeshe, jana si nilitoka zangu kwenye mihanjo bhna, ilikuwa usiku , nikakodi piki pik huyoo, sasa kufika njian tukakuta mtu kagongwa watu kibao wamemzunguka,
warumi nilivyo mbea nikataman kumsimamisha dereva nikaone umbea nkawa naogop nkachuna, kumbe dereva nae anataman kuona umbea, akaniuliza turud kidogo tukaangalie ajali, kumbe dereva nae alikuwa mbea warumi anasubir,mie tena ata ningekuwa nachelewa flight ningechelewa kwa ajil ya umbea, nikakubali bhana, akageuza piki pik mpaka eneo la tukio nakwambia mbio nikashuka nkashuhudie ajali, kufika kumbe ng'ombe aligongwa na hakufa tuliumbukaje? Wacha watu watuzomee mi na dereva wangu hao tukakimbia, nikacheka nikasema umbea huu hatar