Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake


Dougmasta na matikibokoyao kumbe wanakupa ugonjwa wa moyo eehh? Uliza ujibiwe kuhusu uhusiano wa dogi na wema. Tatizo hamjui kwamba mashabiki wa wema hawajawahi kumuona wema hata siku moja zaidi ya matikibokoyao kipindi amekamatwa. Tena alimuona baada ya mati kumuita kuona km anaweza kutoa msada ambao hakuutoa akautoa didamitikisiko. Mlizidi kumuonea wema ndo maana wamejitokeza watetezi wa hiari bila malipo. Wema ana die hard fans ambao wako dunia nzima km hujui na wema hajawahi hata kuwatia kidole.
 
Aibu ya nini? Hivi ndoa za kuzungu unazijua wewe? Tatizo ushazoea za kiswazi za kizungu huziwezi.... by the way wale wageni kutoka Uganda ni wagonjwa??? Na vile vikwapa je? Vimegombana na viwembe?

Hahahahahah wewe ni mzukule wa Wema nini?
 

Umeandika gazeti reefu kwani hata kama wema akiolewa we kinakuhusu nini, amvurugie zari ili iweje, mwacheni mtoto wa watu loh
 

Sasa tangu hao die hard fans wameanza kumpigania, what has she gained? She ended up dumping Diamond akifikiri Diamond wouldnt be able to live without her. Well, there is a surprise for you all. Hata akina Dougiemasta na Wema fans wote, hata mumtukanaje Diamond na Zari, it isnt going to change anything. Mlimsema Diamond wa watu anatumia nyota ya Wema, haya sasa amewaachia Wema wenu, but still mnamtukana. Poleni.
 
Umeandika gazeti reefu kwani hata kama wema akiolewa we kinakuhusu nini, amvurugie zari ili iweje, mwacheni mtoto wa watu loh

You are such a dunce. Soma uelewe. Kuolewa kwa Wema hakunihusu just like the way my post haikukuhusu wewe.
 

Ahah Mrembo by Nature na wewe kabisa na utashi wako unataka kutuaminisha kuwa wema kweli kaolewa?? Please punguza ushabiki bwana ata nafsi yako inakuponza i think
 
Last edited by a moderator:

Kuachwa au kuacha hajaanza wema hata wini mandela alishaachwa, Vicki kama ta, Anne kilango, mimi, wewe, unsesoma hapa n.k
 
Kuachwa au kuacha hajaanza wema hata wini mandela alishaachwa, Vicki kama ta, Anne kilango, mimi, wewe, unsesoma hapa n.k

So kumbe you know,ha! Why are you all behaving as if she is the first woman to dump or being dumped? Let Diamond live his life without you so called Wema's fans kumtukana yeye na his current girlfriend. Hamuwezi kumpigania Wema mpaka mumtukane Diamond or Zari?
 
Aibu ya nini? Hivi ndoa za kuzungu unazijua wewe? Tatizo ushazoea za kiswazi za kizungu huziwezi.... by the way wale wageni kutoka Uganda ni wagonjwa??? Na vile vikwapa je? Vimegombana na viwembe?

Hahahahaaa naona umekuja kusimamia show the legend!
 
You are such a dunce. Soma uelewe. Kuolewa kwa Wema hakunihusu just like the way my post haikukuhusu wewe.

Wat Is the center of ur argument? Ujue hueleweki u better get ur a$$ off this page n get ready for white Mariah party
 
nawaza huyo ni mwanaume wa aina gani aliyekubali kujitoa kafara.
 
Wat Is the center of ur argument? Ujue hueleweki u better get ur a$$ off this page n get ready for white Mariah party

I don't expect you to understand what I am on about or my point of argument. So why don't you get your ass off my posts and mind your own business. I didn't reference you in my posts but you saw fit to stick your nose in it.
 
I don't expect you to understand what I am on about or my point of argument. So why don't you get your ass off my posts and mind your own business. I didn't reference you in my posts but you saw fit to stick your nose in it.

Mind u this is a free arena .... I'm free to read n comment on anything whether meaningful or pontless. Anyways lemme put my fingers off ur pointless gazeti... again I'm off....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…