Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake

Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake

Unajua Wema simuelewagi. Si mchukii ila sidhani kama ana akili kiasi kwamba anaweza kumsema Chibu ana IQ ndogo. Yaani kati ya vijikundi vyoote ameona Dougimasta na Matikibokoyao ndio watu wakujihusisha nao. Ni wazi kabisa yeye ndio anampaga siri na maneno mengi amabayo Dougimasta anamtukaniaga Chibu na ndugu zake. Yaani Dougimasta vile alivyomtukana Romyjons wa watu, na kila leo matusi kwa Chibu. Halafu kwa haya matusi yoote Wema anategemea eti akimtumia Chibu meseji hata kama ni ya kumjulia mama yake hali eti Chibu amjibu. Kwa kweli hata kama Chibu alikua ana mapenzi bado moyoni na Wema, kwa tabia hii ya Wema kumkumbatia Dougimasta, lazima hasira na mapenzi ya potee.
Dougimasta, Matikibokoyao, Wema, martinkadinda wamekaa chini wakaona hii sherehe ya Zari imeshika moto sana wakaona wadanganye eti Wema kaolewa. Ile kadi ya mualiko nyekundu Dougimasta aliweka insta ni ya kugoogle, lile BMW lenye uwa mbele ni la kugoogle, huyu msichana hajaolewa ile nguo ya harusi amevaa ilikua ni movie ana shoot au tangazo. Sasa najiuliza ni akili gani kutangaza umeolewa na hawa akina Dougiemasta kujishaua huko insta eti wamealikwa kwenye after party. Ni ujinga uliokithiri angefanya tu mambo yake. Halafu dougimasta bado anamtukana Chibu eti ni mbunge wa maji machafu etc. Duh!
Huyu dada anaitwa who-is-the -boss huko insta, somehow I like her. Anamtetea Chibu na Zari by proving a lot of what Dougiemasta na teamwema post about Chibu na Zari to be lies. Ila to be honest matusi mengi huanza na team wema wakiongozwa na huyo Dougiemasta. In short Wema amejiharibia sana, no wonder Diamond doesnt want to remain friends na yeye. He is still friends na Penny, imagine of all women, Penny alitakiwa amchukie sana Diamond kwa aliyomtenda lakini wala they are good friends, hata Kidoti. Ila Wema ulimbukeni umezidi, mwanamke ukiwa mrembo lakini una maudhi na tabia zisizo faa hauta dumu na wanaume.

Dougmasta na matikibokoyao kumbe wanakupa ugonjwa wa moyo eehh? Uliza ujibiwe kuhusu uhusiano wa dogi na wema. Tatizo hamjui kwamba mashabiki wa wema hawajawahi kumuona wema hata siku moja zaidi ya matikibokoyao kipindi amekamatwa. Tena alimuona baada ya mati kumuita kuona km anaweza kutoa msada ambao hakuutoa akautoa didamitikisiko. Mlizidi kumuonea wema ndo maana wamejitokeza watetezi wa hiari bila malipo. Wema ana die hard fans ambao wako dunia nzima km hujui na wema hajawahi hata kuwatia kidole.
 
Aibu ya nini? Hivi ndoa za kuzungu unazijua wewe? Tatizo ushazoea za kiswazi za kizungu huziwezi.... by the way wale wageni kutoka Uganda ni wagonjwa??? Na vile vikwapa je? Vimegombana na viwembe?

Hahahahahah wewe ni mzukule wa Wema nini?
 
Unajua Wema simuelewagi. Si mchukii ila sidhani kama ana akili kiasi kwamba anaweza kumsema Chibu ana IQ ndogo. Yaani kati ya vijikundi vyoote ameona Dougimasta na Matikibokoyao ndio watu wakujihusisha nao. Ni wazi kabisa yeye ndio anampaga siri na maneno mengi amabayo Dougimasta anamtukaniaga Chibu na ndugu zake. Yaani Dougimasta vile alivyomtukana Romyjons wa watu, na kila leo matusi kwa Chibu. Halafu kwa haya matusi yoote Wema anategemea eti akimtumia Chibu meseji hata kama ni ya kumjulia mama yake hali eti Chibu amjibu. Kwa kweli hata kama Chibu alikua ana mapenzi bado moyoni na Wema, kwa tabia hii ya Wema kumkumbatia Dougimasta, lazima hasira na mapenzi ya potee.
Dougimasta, Matikibokoyao, Wema, martinkadinda wamekaa chini wakaona hii sherehe ya Zari imeshika moto sana wakaona wadanganye eti Wema kaolewa. Ile kadi ya mualiko nyekundu Dougimasta aliweka insta ni ya kugoogle, lile BMW lenye uwa mbele ni la kugoogle, huyu msichana hajaolewa ile nguo ya harusi amevaa ilikua ni movie ana shoot au tangazo. Sasa najiuliza ni akili gani kutangaza umeolewa na hawa akina Dougiemasta kujishaua huko insta eti wamealikwa kwenye after party. Ni ujinga uliokithiri angefanya tu mambo yake. Halafu dougimasta bado anamtukana Chibu eti ni mbunge wa maji machafu etc. Duh!
Huyu dada anaitwa who-is-the -boss huko insta, somehow I like her. Anamtetea Chibu na Zari by proving a lot of what Dougiemasta na teamwema post about Chibu na Zari to be lies. Ila to be honest matusi mengi huanza na team wema wakiongozwa na huyo Dougiemasta. In short Wema amejiharibia sana, no wonder Diamond doesnt want to remain friends na yeye. He is still friends na Penny, imagine of all women, Penny alitakiwa amchukie sana Diamond kwa aliyomtenda lakini wala they are good friends, hata Kidoti. Ila Wema ulimbukeni umezidi, mwanamke ukiwa mrembo lakini una maudhi na tabia zisizo faa hauta dumu na wanaume.

Umeandika gazeti reefu kwani hata kama wema akiolewa we kinakuhusu nini, amvurugie zari ili iweje, mwacheni mtoto wa watu loh
 
Dougmasta na matikibokoyao kumbe wanakupa ugonjwa wa moyo eehh? Uliza ujibiwe kuhusu uhusiano wa dogi na wema. Tatizo hamjui kwamba mashabiki wa wema hawajawahi kumuona wema hata siku moja zaidi ya matikibokoyao kipindi amekamatwa. Tena alimuona baada ya mati kumuita kuona km anaweza kutoa msada ambao hakuutoa akautoa didamitikisiko. Mlizidi kumuonea wema ndo maana wamejitokeza watetezi wa hiari bila malipo. Wema ana die hard fans ambao wako dunia nzima km hujui na wema hajawahi hata kuwatia kidole.

Sasa tangu hao die hard fans wameanza kumpigania, what has she gained? She ended up dumping Diamond akifikiri Diamond wouldnt be able to live without her. Well, there is a surprise for you all. Hata akina Dougiemasta na Wema fans wote, hata mumtukanaje Diamond na Zari, it isnt going to change anything. Mlimsema Diamond wa watu anatumia nyota ya Wema, haya sasa amewaachia Wema wenu, but still mnamtukana. Poleni.
 
Umeandika gazeti reefu kwani hata kama wema akiolewa we kinakuhusu nini, amvurugie zari ili iweje, mwacheni mtoto wa watu loh

You are such a dunce. Soma uelewe. Kuolewa kwa Wema hakunihusu just like the way my post haikukuhusu wewe.
 
Dougmasta na matikibokoyao kumbe wanakupa ugonjwa wa moyo eehh? Uliza ujibiwe kuhusu uhusiano wa dogi na wema. Tatizo hamjui kwamba mashabiki wa wema hawajawahi kumuona wema hata siku moja zaidi ya matikibokoyao kipindi amekamatwa. Tena alimuona baada ya mati kumuita kuona km anaweza kutoa msada ambao hakuutoa akautoa didamitikisiko. Mlizidi kumuonea wema ndo maana wamejitokeza watetezi wa hiari bila malipo. Wema ana die hard fans ambao wako dunia nzima km hujui na wema hajawahi hata kuwatia kidole.

Ahah Mrembo by Nature na wewe kabisa na utashi wako unataka kutuaminisha kuwa wema kweli kaolewa?? Please punguza ushabiki bwana ata nafsi yako inakuponza i think
 
Last edited by a moderator:
Sasa tangu hao die hard fans wameanza kumpigania, what has she gained? She ended up dumping Diamond akifikiri Diamond wouldnt be able to live without her. Well, there is a surprise for you all. Hata akina Dougiemasta na Wema fans wote, hata mumtukanaje Diamond na Zari, it isnt going to change anything. Mlimsema Diamond wa watu anatumia nyota ya Wema, haya sasa amewaachia Wema wenu, but still mnamtukana. Poleni.

Kuachwa au kuacha hajaanza wema hata wini mandela alishaachwa, Vicki kama ta, Anne kilango, mimi, wewe, unsesoma hapa n.k
 
Kuachwa au kuacha hajaanza wema hata wini mandela alishaachwa, Vicki kama ta, Anne kilango, mimi, wewe, unsesoma hapa n.k

So kumbe you know,ha! Why are you all behaving as if she is the first woman to dump or being dumped? Let Diamond live his life without you so called Wema's fans kumtukana yeye na his current girlfriend. Hamuwezi kumpigania Wema mpaka mumtukane Diamond or Zari?
 
Aibu ya nini? Hivi ndoa za kuzungu unazijua wewe? Tatizo ushazoea za kiswazi za kizungu huziwezi.... by the way wale wageni kutoka Uganda ni wagonjwa??? Na vile vikwapa je? Vimegombana na viwembe?

Hahahahaaa naona umekuja kusimamia show the legend!
 
You are such a dunce. Soma uelewe. Kuolewa kwa Wema hakunihusu just like the way my post haikukuhusu wewe.

Wat Is the center of ur argument? Ujue hueleweki u better get ur a$$ off this page n get ready for white Mariah party
 
nawaza huyo ni mwanaume wa aina gani aliyekubali kujitoa kafara.
 
Wat Is the center of ur argument? Ujue hueleweki u better get ur a$$ off this page n get ready for white Mariah party

I don't expect you to understand what I am on about or my point of argument. So why don't you get your ass off my posts and mind your own business. I didn't reference you in my posts but you saw fit to stick your nose in it.
 
I don't expect you to understand what I am on about or my point of argument. So why don't you get your ass off my posts and mind your own business. I didn't reference you in my posts but you saw fit to stick your nose in it.

Mind u this is a free arena .... I'm free to read n comment on anything whether meaningful or pontless. Anyways lemme put my fingers off ur pointless gazeti... again I'm off....
 
Back
Top Bottom