Wema amenishangaza kwa kauli ya "yeye na uzungu wake"

hahahahahhaha. nasubiri majibu tujue huo uzungu. lolmfao
 
Ahahahahaaaa yeah right!

Huu ndo 'Uzungu' wake.

Hebu yasikieni hayo matusi ya 'Mzungu'.


'Mzungu' in action...


😀😀😀😀
hahaha nacheka sna aisee. eti uzungu wke ndo huo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahahhaha. zero brain ni tatzo kbwa nchi ytu.
 
Wenyewe watakuambia hizo ni swaga...
Ngozi nyeusi kila kitu ni kizuri kwake ilimradi hicho kitu awe kakifanya mzungu.
 
Labda nitakuwa tofauti maana mimi nashangazwa na watu ambao bado wanashangazwa na huyu kiumbe kiukweli hajitambui
 
Hahah mkuu,nlivyoona hayo ma trucks tu nikajua watakuwa wale mnaowaita ma rednecks,wazungu waswazi.
 
Reactions: MC7
Huo sio 'uzungu'?

Au yeye anazungumzia uzungu upi labda?

Mwisho wa siku ujinga bado ni adui mkubwa kwenye jamii yetu.
Mkuu yeye wala sio wakumlaumu sana mana hana alijuwalo,wakuwalaumu ni wale walomfanya awe supastaa na role model wa mabinti wa skuiz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…