Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Haya jamani kwa Huddah kumekucha insta...kamshushia mapange Mange basi wadau wanajirusha na yote...mie kama kawa ni msoma koments 10 au 15 gazeti ni lina comments 750 hadi sasa....
Nilijua tu kitanuka kati yake na Huddah