Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo miss aliyetembea na wanaume wengi uchwara nadhani kuliko wengine wote. Jumbe, T.I.D, Mr. Blue, Charles Baba, Kanumba, Diamond n.k achilia mbali wanaogonga na kuacha! Hata hivyo anajitahidi kuwa na moyo mgumu, nadhani ni punching box ya kujifunza kwa wanaume kutoka na mastaa.
mhh hawa wawili mwenyewe amekanusha mara zote si kweli...T.I.D na Blue,hata changudoa Ohio halali na kila mwanaume jamani.e e.....hata Mr Blue..? hii sikujua....huyu dada nae sasa....
mhh hawa wawili mwenyewe amekanusha mara zote si kweli...T.I.D na Blue,hata changudoa Ohio halali na kila mwanaume jamani.
mhh hawa wawili mwenyewe amekanusha mara zote si kweli...T.I.D na Blue,hata changudoa Ohio halali na kila mwanaume jamani.
Wema uchi wake una nini mbona wanaume wote humu FB hamuishi kumtamani kwa kumtajataja inaboa sasa!!
Hv sasa hawa wakioana 2 kesho yake utasikia mara diadond hajalala nyumban mara wameachana. Hawa wote ni wasanii 2.
Huyu Wema mi mwenyewe kuna siku nusu nimpitie sema nikaona nimpotezee tu. Nakumbuka ilikuwa Leaders J'mosi, basi nikaja kuangalia wasanii wanvyorukaruka kidali poo. Nikawa nimekaa meza ya pembeni kidogo huku napiga ze Ndovu zangu baridiii. Ghafla meza yangu ikavamiwa na Wema na Irene Uwoya eti wanaomba kinywaji. Mi bila hiyana nikawaambia waagize. Walivyoanza kulewa eti wakawa wanataka niwape lift mara oooh tununulie nyama mara oooh tunaomba vocha. Mi nikasema jamani isiwe tabu, nikawaacha wameduwaa wasielewe la kufanya. Mi huyooooo
Huyu Wema mi mwenyewe kuna siku nusu nimpitie sema nikaona nimpotezee tu. Nakumbuka ilikuwa Leaders J'mosi, basi nikaja kuangalia wasanii wanvyorukaruka kidali poo. Nikawa nimekaa meza ya pembeni kidogo huku napiga ze Ndovu zangu baridiii. Ghafla meza yangu ikavamiwa na Wema na Irene Uwoya eti wanaomba kinywaji. Mi bila hiyana nikawaambia waagize. Walivyoanza kulewa eti wakawa wanataka niwape lift mara oooh tununulie nyama mara oooh tunaomba vocha. Mi nikasema jamani isiwe tabu, nikawaacha wameduwaa wasielewe la kufanya. Mi huyooooo