Wema, kupungua mwili sasa basi. Utakuwa mifupa

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Habarini...

Kiukweli murembo Wema alikuwa likibonge hadi akapoteza muonekano.

Mimi pia sikupendezwa na ubonge ule...ila sasa dada amepungua sana na kufikia kuwa mifupa a.k.a kimbaumbau...

Hapo awali tetesi zilisema kuwa murembo aliamua kwenda kukata utumbo ili apungue na kuwa mwembamba.

Kwa sasa muonekano wa Wema umekuwa mbaya kwani amedhoofu.


Ni hayo tuu...
 
Sasa bila ukajua umeeleweka...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…