Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakatwa huyu utumbo,kufanya diet halafu BANKWA una mzigo wa kutosha ni ngumu,hauwezi acha kula mazagazaga mayonaizi makachumbali madikodiko full masotojo wakati PAKEE inapumua BANKWA.Mkuu kama kakatwa utumbo huyu inamaana juhudi za kusaka katoto ndio basi tena zishamyeyuka?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] bankwa ndo nini mkuu?Kakatwa huyu utumbo,kufanya diet halafu BANKWA una mzigo wa kutosha ni ngumu,hauwezi acha kula mazagazaga mayonaizi makachumbali madikodiko full masotojo wakati PAKEE inapumua BANKWA.
Hajapata mtu wa kumpatia huyu labda awe ameharibu kizazi kipindi cha ujana.
Angalia vizuri...[emoji23] au ongezamo na ka miwani utagundua kitu
BANKWA = BANK[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] bankwa ndo nini mkuu?
Samahani kwa kosa la jinai la kukutoa kua Quine mpaka kaka mandevu sikusoma jina my dearMimi mdada jamani[emoji23][emoji23]
Anakaa kwenye mfuko wa uzazi!!!!Kwani mtoto anakaa kwenye utumbo?
3:3Mhubiri 3:1
Mhubiri 3:1
nyie mnataka aweje maana akikonda mnamsema na akinenepa mnamsema pia
Daah ule msambwanda wote ume disappear! !!
Hahaha. ..sasa halafu ukishauona uona ulikuwa una nufaika vipi?Mimi nimeacha kushughulikia habari zake kabisa. Ule msambwanada ndio uliokua nikiushindia insta
Hahaha. ..sasa halafu ukishauona uona ulikuwa una nufaika vipi?
HahahaNilisharusha mkono sana enzi zile za Wema alipokua wema kwa kweli
MkuuHabarini...
Kiukweli murembo Wema alikuwa likibonge hadi akapoteza muonekano.
Mimi pia sikupendezwa na ubonge ule...ila sasa dada amepungua sana na kufikia kuwa mifupa a.k.a kimbaumbau...
Hapo awali tetesi zilisema kuwa murembo aliamua kwenda kukata utumbo ili apungue na kuwa mwembamba.
Kwa sasa muonekano wa Wema umekuwa mbaya kwani amedhoofu.
Ni hayo tuu...